wewe nani aolewe na mtu ya huko bahili hela ya saluni lazima uattach na profoma invoice then upeleke na receipt? Na chenji duuuh weweeeeduh! Kumbe ni mmachame, basi nimeghairi hata sitaki kumdanganya tena
mi natoka mwanga sehemu moja inaitwa kihurio!
Kule unakotoka si ndo nasikia MUNAWAGADAFI wanaumewewe nani aolewe na mtu ya huko bahili hela ya saluni lazima
uattach na profoma invoice then upeleke na receipt? Na chenji duuuh weweeee
wapi huko? Hayo kayasema tf mimi wala sio mtz kwanzakule unakotoka si ndo nasikia munawagadafi wanaume
wakishapata vijisenti?
Ok nilifikiri TF anakufahamu vizuri!wapi huko? Hayo kayasema tf mimi wala sio mtz kwanza
sitaki mxer yaani nataka wa mita chache tuu toka home yaani awe jirani kabisa kule kijijini kwetu
Kwani kuolewa lazima?
huyo lazima atakuwa kaka yako wa baba mkubwa au mdogo!!
Hata mimi nashangaa...!! Kumbe kuolewa dili eeh..!!?
Mwenzangu.........! Yaani ishakuwa kama wimbo wa taifa sasa loooh!!
Na kuoa je?
Sijui wao wanachukuliaje! Ila nahisi watakuwa wanachukulia lazima ndo maana wanajaribu kuforce na wenzao waolewe!!
Bantu girl hapa umenichekesha sana!mh kuna kaukweli, mie zamani nilikuwa nachagua kweli nilikuwa nataka mwanaume mrefu na awe msukuma... hii kitu ilinipotezea muda sana na hata nilipompata ckufaidi kama nilivyokuwa nategemea
- baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae.
- baadhi ya wasichana wanapenda na kutamani kuwa na wanaumme wazuri sana kuliko wote amabao hawapo.
- baadhi ya wasichana hawajishughulishi kabisa na kujiweka katika hali ya kuvutia wakiamini kwamba mungu atawaletea tu. Hata wawe na tabia nzuri au mbaya.
- baadhi ya wasichana wakivishwa pete na baadae kutelekezwa na kuachwa huamini kuwa wanaume wote duniani hawafai tena na huwachukia wanaume wote.
- baadhi ya wasichana wanajifanya ni wa daraja la juu sana na mwishowe hufanya kiburi na hatimae wanaume wanawakwepa.
- baadhi ya wasichana wana tatizo la kutokujiamini na wanawaogopa wanaume kupita kiasi.
- baadhi ya wasichana wanapenda kuolewa na watu wa kabila lao au watu kutoka kijiji kimoja ambayo , ambapo pale mahala wanapoishi kwa sasa huwa vigumu kupatikana !!!
Kuolewa hakuna mwisho,hata ukiolewa na 78 yrs bado ni ndoa.........have fun,love yourself and do what makes you the happiest,life is short and there is no guarantee that when married everything will be smooth.......chelewa as much as you can,when you are comfortable and you meet someone.....go ahead!!
Fine my dear,am kind of tired of people who think they have the right formula of how we should live our lives.....Blessings to u 2 dear!
Embu kwendeni zenu huko! Kila siku mmekazana kusakama wadada ambao hawajaolewa, hivi hamuwaoni wale mlowatelekeza huko mitaani na watoto? Sijaona hata mmoja akiconfess hapa wengi mnakimbilia kutuhumu, haya na hao mlowatelekeza/ wazalisha watoto halafu mkawaacha wanahangaika huko, mmemuachia nani awaoe? Au ndo kusema nyie watu mnafanyaga mazuri sana? Kwa hiyo mtu ajiforce tu kuolewa eti kisa umri unakwenda na warika lake watakuwa wameshaoa? Msituletee hadithi zenu za abunuasi hapa, kuolewa is not mandatory its an option na haina specific age acheni kukariri!!! Let a person get married when she is read na sio kwa mazoea! Aiyaa......!!!!
Waoaji wenyewe hatuoi ovyo ovyo basi wadada wengne wana capitalize kwa kukosa wakuwaoa eti kwani kuolewa lazima? We sema umekwama kuolewa na kuoa ni heshima kubwa kwa mwanadamu bado mnapinga? Huu u feminist unakuja kuwamaliza kisaikolojia hasa wasomi masista duu ukija taka olewa ndo utajua kuwa ukipata chance ya ndoa itumie na humu jf mnazuga tu mnapenda kuolewa sema mmekwama au vigezo hamna vya kuolewa...aahaaa ahaaaaa