Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 896
Hahahhaahhahaha! Pole sana kwa fikra zako za kichovu! Hujui wewe ukimuona hana vigezo vya kuolewa kuna mwenzio anamuona ana vigezo vyote na anamtafuta kwa kila namna?
Tatizo lako una fikra finyu sana,hufikirii zaidi ya urefu wa pua yako.......kama kuna mayatima kwa nini wasiwe adopted,si ni watoto pia??
Kwani lazima ufike 78 ukiwa huna mtoto,uzae wakati huo?? Si kuna wenye watoto na wanalea wenyewe hawataki kuolewa?kama siku akitokea akatamani kuolewa si anaolewa??
Dada zako ndo wanaishi maisha ya movie,wengine wanaishi real life,kila mtu ana choice zake kwenye maisha usijitie kujua sana whats best for everyone....
Pole yako kawape wanaokulilia shida,na ujipe mwenyewe unaowaonea wenzio shida wasizokuwa nazo.......
Si kila mtu anapagawa na G8,acha ushamba wa ku-assume kila mtu ana status moja na wewe,kwenye akili yako G8 ndo gari ya gharama sana????wenzio hatupagawi na vitu kama hivyo,tunataka peace of mind na furaha kwenye maisha yetu,na tunajiamini na tunaishi maisha quality independently,wewe kama mama yako alikuambia furaha inakuja ukioa au kuolewa,wengine mama zetu walitulea kuwa independent na kufanya maamuzi wenyewe si kwa kuangalia wengine wanafanyaje.We do what is best for US not for everyone.:coffee:
Waoaji wenyewe hatuoi ovyo ovyo basi wadada wengne wana capitalize kwa kukosa wakuwaoa eti kwani kuolewa lazima? We sema umekwama kuolewa na kuoa ni heshima kubwa kwa mwanadamu bado mnapinga? Huu u feminist unakuja kuwamaliza kisaikolojia hasa wasomi masista duu ukija taka olewa ndo utajua kuwa ukipata chance ya ndoa itumie na humu jf mnazuga tu mnapenda kuolewa sema mmekwama au vigezo hamna vya kuolewa...aahaaa ahaaaaa
Agreed,lakini pia mizinga ikizidi wanaume wanaogopa.
- baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae.
- baadhi ya wasichana wanapenda na kutamani kuwa na wanaumme wazuri sana kuliko wote amabao hawapo.
- baadhi ya wasichana hawajishughulishi kabisa na kujiweka katika hali ya kuvutia wakiamini kwamba mungu atawaletea tu. Hata wawe na tabia nzuri au mbaya.
- baadhi ya wasichana wakivishwa pete na baadae kutelekezwa na kuachwa huamini kuwa wanaume wote duniani hawafai tena na huwachukia wanaume wote.
- baadhi ya wasichana wanajifanya ni wa daraja la juu sana na mwishowe hufanya kiburi na hatimae wanaume wanawakwepa.
- baadhi ya wasichana wana tatizo la kutokujiamini na wanawaogopa wanaume kupita kiasi.
- baadhi ya wasichana wanapenda kuolewa na watu wa kabila lao au watu kutoka kijiji kimoja ambayo , ambapo pale mahala wanapoishi kwa sasa huwa vigumu kupatikana !!!
Kwa kuongezea.. baadhi ya wasichana wanapiga mno Invoice kiasi kwamba wanaume wanawakimbia-haswa hizi vocha! ni kero tupu
Waoaji wenyewe hatuoi ovyo ovyo basi wadada wengne wana capitalize kwa kukosa wakuwaoa eti kwani kuolewa lazima? We sema umekwama kuolewa na kuoa ni heshima kubwa kwa mwanadamu bado mnapinga? Huu u feminist unakuja kuwamaliza kisaikolojia hasa wasomi masista duu ukija taka olewa ndo utajua kuwa ukipata chance ya ndoa itumie na humu jf mnazuga tu mnapenda kuolewa sema mmekwama au vigezo hamna vya kuolewa...aahaaa ahaaaaa
Biblia katika kitabu cha Mt. Paul inaeleza kwamba ingekuwa vizuri mwamaume ama mwanamke kuishi peke yake ila kama mmojawapo atashindwa kuhimiri mihemuko 'emotion' ni bora ya kuoa ama kuolewa maana itakusababisha kutenda dhambi. Kama umefaulu kwa hilo hongera dada yangu.Hivi kwani msichana akifikisha mri gani ndio anakuwa amechelewa kuolewa?????????
Kwani mwanamke akiwa hajaolewa anakuwa amepungukiwa nini hadi iwe lazima kuolewa?
Na sisi tunavigezo vyetu tunaangalia sio tu kisa eti umri umesogea basi niolewe ni mwanaume yeyote anayejitokeza. Hell No!
Alafu wale mnaosema sijui kuolewa lazima hebu tuambie hao dadazenu au ndugu zenu wengine wakike wangapi wameolewa and their unhappy.
Habari ndiyo hii, here we are 30+, hatujaolewa , we have excelled in our careers, we are happy and independent.