Makosa saba wafanyayo wasichana ambayo huwafanya wachelewe kuolewa !!!!

Makosa saba wafanyayo wasichana ambayo huwafanya wachelewe kuolewa !!!!

Hahahhaahhahaha! Pole sana kwa fikra zako za kichovu! Hujui wewe ukimuona hana vigezo vya kuolewa kuna mwenzio anamuona ana vigezo vyote na anamtafuta kwa kila namna?

kama hana vigezo vya general hata akiolewa ndoa itakuwa disaster na si kuwa wanaume wote ni wenye vigezo vya kuoa la hasha thats why wengine hukimbia family zao wakati alioa akijua majukumu yapo mbele yake
 
Kuolewa ni maamuzi ya mtu binafsi haijalishi kawahi au kachelewa, binafsi sioni sababu ya kuwafanya akina dada waumie kisa hawajaolewa maana ndoa siku inatoa heshima ya siku moja tu baada ya hapo ni kudhalilishwa na kufedheheshwa sasa bora kipi??maana saivi walioolewa wanajuta na wanatamani kutoka.....
 
kuwa mwanaume ni zaidi ya suruali na shati na ile kitu. umemaliza kila kitu hasa hiyo ya kwenda nyumbani sijui wazee wakakuone........ukiiskie lazima kengele ilie kichwani
 
Tatizo lako una fikra finyu sana,hufikirii zaidi ya urefu wa pua yako.......kama kuna mayatima kwa nini wasiwe adopted,si ni watoto pia??

Kwani lazima ufike 78 ukiwa huna mtoto,uzae wakati huo?? Si kuna wenye watoto na wanalea wenyewe hawataki kuolewa?kama siku akitokea akatamani kuolewa si anaolewa??

Dada zako ndo wanaishi maisha ya movie,wengine wanaishi real life,kila mtu ana choice zake kwenye maisha usijitie kujua sana whats best for everyone....

Pole yako kawape wanaokulilia shida,na ujipe mwenyewe unaowaonea wenzio shida wasizokuwa nazo.......

Si kila mtu anapagawa na G8,acha ushamba wa ku-assume kila mtu ana status moja na wewe,kwenye akili yako G8 ndo gari ya gharama sana????wenzio hatupagawi na vitu kama hivyo,tunataka peace of mind na furaha kwenye maisha yetu,na tunajiamini na tunaishi maisha quality independently,wewe kama mama yako alikuambia furaha inakuja ukioa au kuolewa,wengine mama zetu walitulea kuwa independent na kufanya maamuzi wenyewe si kwa kuangalia wengine wanafanyaje.We do what is best for US not for everyone.:coffee:

Nimependa ulivoreact kike kabisaaa,waweza kuwa sahihi kwa asilimia isiyozidi 10 juu ya kuwa independent,wanawake wengi wanapenda kujiita independet wakati wakitoswa au kukosa mtu wa kudate nae,nimekutana na wanawake ambao wakati wanaishi peke yao walikuwa wakijisifu kuwa wao ni independent na hawajalajii kuwategemea wanaume,lakini mara baada ya kuingia kwenye mahusiano uindependent wao haumalizi hata mwezi,japo huwa wanajitahidi kuwa na stahili za kuomba ili kujikimu kupitia kwa majamaa zao ooh kama hutajali... Oooh nina kiasi niongezee nipate ...Oooh kama utakuwa kwenye position, Oooh naona nakusumbua lakini... Oooh naona aibu kukuomba... mabo kibao,wizi mtupu. Ningeweza kukupa credit kama ningeweza kupata taarifa huru kwa huyo unayedate naye kama yupo...
 
Waoaji wenyewe hatuoi ovyo ovyo basi wadada wengne wana capitalize kwa kukosa wakuwaoa eti kwani kuolewa lazima? We sema umekwama kuolewa na kuoa ni heshima kubwa kwa mwanadamu bado mnapinga? Huu u feminist unakuja kuwamaliza kisaikolojia hasa wasomi masista duu ukija taka olewa ndo utajua kuwa ukipata chance ya ndoa itumie na humu jf mnazuga tu mnapenda kuolewa sema mmekwama au vigezo hamna vya kuolewa...aahaaa ahaaaaa

Kashengo, ndoa zenyewe zipi? Hizi za kisasa? Labda za enzi za babu Asprin ndio za kuugulia.
 
na kuna wasichana kila wakiwa na mtu anatangaza ndoa ila msichana anakuwa hayuko tayari
maisha haya wengine wataka hivi na wengine vile, ila nahisi unapokuwa desperate sana
ndio yanakutokea ya kumwagwa mara kwa mara
 

  • baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae.
  • baadhi ya wasichana wanapenda na kutamani kuwa na wanaumme wazuri sana kuliko wote amabao hawapo.
  • baadhi ya wasichana hawajishughulishi kabisa na kujiweka katika hali ya kuvutia wakiamini kwamba mungu atawaletea tu. Hata wawe na tabia nzuri au mbaya.
  • baadhi ya wasichana wakivishwa pete na baadae kutelekezwa na kuachwa huamini kuwa wanaume wote duniani hawafai tena na huwachukia wanaume wote.
  • baadhi ya wasichana wanajifanya ni wa daraja la juu sana na mwishowe hufanya kiburi na hatimae wanaume wanawakwepa.
  • baadhi ya wasichana wana tatizo la kutokujiamini na wanawaogopa wanaume kupita kiasi.
  • baadhi ya wasichana wanapenda kuolewa na watu wa kabila lao au watu kutoka kijiji kimoja ambayo , ambapo pale mahala wanapoishi kwa sasa huwa vigumu kupatikana !!!
Agreed,lakini pia mizinga ikizidi wanaume wanaogopa.
 
Kwa kuongezea.. baadhi ya wasichana wanapiga mno Invoice kiasi kwamba wanaume wanawakimbia-haswa hizi vocha! ni kero tupu

Ni kweli kabisa! Nawasikia wakaka, wanavyokereka na wasichana wanaopenda kuwabana kila wakati, wakabaji! Hili ni shida kubwa mno kwa wanawake jamani, tujirekebishe
 
Waoaji wenyewe hatuoi ovyo ovyo basi wadada wengne wana capitalize kwa kukosa wakuwaoa eti kwani kuolewa lazima? We sema umekwama kuolewa na kuoa ni heshima kubwa kwa mwanadamu bado mnapinga? Huu u feminist unakuja kuwamaliza kisaikolojia hasa wasomi masista duu ukija taka olewa ndo utajua kuwa ukipata chance ya ndoa itumie na humu jf mnazuga tu mnapenda kuolewa sema mmekwama au vigezo hamna vya kuolewa...aahaaa ahaaaaa


Hili nalo neno!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Two Tings involved on your thread!!

Either ur a Man or ur a Woman.

If ur a Woman........ ur Safe!!

But if ur a Man...two tings involved...

Jibu kwanza wether ur a Man or a Woman
kisha niendelee....
 
Hivi kwani msichana akifikisha mri gani ndio anakuwa amechelewa kuolewa?????????

Kwani mwanamke akiwa hajaolewa anakuwa amepungukiwa nini hadi iwe lazima kuolewa?

Na sisi tunavigezo vyetu tunaangalia sio tu kisa eti umri umesogea basi niolewe ni mwanaume yeyote anayejitokeza. Hell No!

Alafu wale mnaosema sijui kuolewa lazima hebu tuambie hao dadazenu au ndugu zenu wengine wakike wangapi wameolewa and their unhappy.

Habari ndiyo hii, here we are 30+, hatujaolewa , we have excelled in our careers, we are happy and independent.
 
Hivi kwani msichana akifikisha mri gani ndio anakuwa amechelewa kuolewa?????????

Kwani mwanamke akiwa hajaolewa anakuwa amepungukiwa nini hadi iwe lazima kuolewa?

Na sisi tunavigezo vyetu tunaangalia sio tu kisa eti umri umesogea basi niolewe ni mwanaume yeyote anayejitokeza. Hell No!

Alafu wale mnaosema sijui kuolewa lazima hebu tuambie hao dadazenu au ndugu zenu wengine wakike wangapi wameolewa and their unhappy.
Habari ndiyo hii, here we are 30+, hatujaolewa , we have excelled in our careers, we are happy and independent.
Biblia katika kitabu cha Mt. Paul inaeleza kwamba ingekuwa vizuri mwamaume ama mwanamke kuishi peke yake ila kama mmojawapo atashindwa kuhimiri mihemuko 'emotion' ni bora ya kuoa ama kuolewa maana itakusababisha kutenda dhambi. Kama umefaulu kwa hilo hongera dada yangu.
 
unaweza usiwe hiv na badi usiolewe unajua kuna watu ni micharuko wanaolewa na wastaarabu wapo tu
 
Lakini kumbukeni wanaume ni wachache, hata wafanyaje, kuna wataokaa bench 2
 
Back
Top Bottom