Makosa tunayofanya kwenye 20s

Makosa tunayofanya kwenye 20s

Mtoa mada nieleweshe hapo UTT
UTT ni mfuko wa uwekezaji wa pamoja chini ya serikali ya Tanzania,
Kuna nyuzi nying zimeelezea UTT humu ndani, hivo wewe search tu utapata shule, au nenda CRDB bank watakupa shule
 
IMG_7205.jpg
 
Kukumbushana ni kuzuri.
Ninyi ndio member mlonifanya nikaipenda jf maana ni postive tuu na mkikosoa mnakosa haswaaa kwa fact.

Barikiwa sana mkuu

Kwa nyongezaaa sikuhizi unaweza kufungua akaunt kwenye benk flan na ukafanya kitu inaitwa standing order kama sijakosea wao wakawa wanachukua kiasi ulichotaka kwenye account yako ya benk

Pia hizi account zinakuwa na riba flan kwa mwaka

Mkuu shukran sana kwa kutukumbusha
Shukran mkuu kwa positive comment yako, na nashukuru kwa kuongezea nyama juu ya hio standing order, ni jambo jema sana kwa wale wanaokuwa tempted kutumia pesa wakiiona kwa acc yao
 
kuna watu mpo serious na hii dunia mnanishangaza sana
Hahahahah mkuu watu wanashangaza 😂😂 wanakuwaje serious na maisha? Ila Kikubwa tujitahidi kuishi poa, fanya Saving za hapa na pale japo 100k kwa mwezi, wekeza for the future, take care of body and soul and enjoy
 
Mkuu hio 100k ukibaki nayo unaweza honga/ tumia kwa vocha tu, ila ukiielekeza UTT wakakuhifandhia (wekaza) after 10 years ukachukua 25M sion kama ni shida, jua hapo hujatoa hata jasho kidogo, ni wew kwenda kwa wakala tu, tena kama unatumia CRDB ni hapo sim Banking kila mwezi umemaliza kila kitu
 
Hakuna kisicho wezekana mkuu,anza sasa usingoje kesho. Mi nmeanza kusave 250k kila mwezi,kuanzia mwaka 2018..ni pesa ambayo inakatwa moja kwa moja kwenye mshahara baada ya kujaza fomu maalumu Nmb na kuingia kwenye account ambayo siwezi ku access kwenye [emoji763] labda kwa kutolea ndani. Sijawahi kuigusa hyo pesa mpka sasa.
Samahani ndugu naomba uweke Salio ficha jina na namba ili unitie moyo
 
Mkuu hio 100k ukibaki nayo unaweza honga/ tumia kwa vocha tu, ila ukiielekeza UTT wakakuhifandhia (wekaza) after 10 years ukachukua 25M sion kama ni shida, jua hapo hujatoa hata jasho kidogo, ni wew kwenda kwa wakala tu, tena kama unatumia CRDB ni hapo sim Banking kila mwezi umemaliza kila kitu

Mkuu naomba nondo zaidi kuhusu UTT nimekua interested hapo.

Nilikua nafikiria kuweka kama 300k iwe inakatwa juu kwa juu kwenye mshahara CRDB kwa ajili ya akiba.

But naona mnaongelra UTT

Naomba nijue namna gani najiunga, nawekaje pesa, etc
 
Mkuu naomba nondo zaidi kuhusu UTT nimekua interested hapo.

Nilikua nafikiria kuweka kama 300k iwe inakatwa juu kwa juu kwenye mshahara CRDB kwa ajili ya akiba.

But naona mnaongelra UTT

Naomba nijue namna gani najiunga, nawekaje pesa, etc

Huo ni mfuko wa uwekezaji ulio chini ya serikali, wenye lengo la kukusanya wahusika kuwekeza katika masoko MBALI MBALI.
👉Wanna mifuko ya uwekezaji Kama 6 hi I, tembelea ofisi zao ili update taarifa sahihi
 
Mkuu naomba nondo zaidi kuhusu UTT nimekua interested hapo.

Nilikua nafikiria kuweka kama 300k iwe inakatwa juu kwa juu kwenye mshahara CRDB kwa ajili ya akiba.

But naona mnaongelra UTT

Naomba nijue namna gani najiunga, nawekaje pesa, etc

Huo ni mfuko wa uwekezaji ulio chini ya serikali, wenye lengo la kukusanya wahusika kuwekeza katika masoko MBALI MBALI.
👉Wanna mifuko ya uwekezaji Kama 6 hi I, tembelea ofisi zao ili update taarifa sahihi
 
Back
Top Bottom