Ni mimi Pekee tu nimebaki Mtumishi, ni mimi tu kukuletea habari hizi....
Mwezi wa toba huu kiongozi...:becky:Mzee mwenyewe leo naona umeamua kumrudia Mungu umetangaza nia nn?
Sauti ya mtu aliliaye nyikani, itengenezeni njia ya bwana, yanyoosheeni mapito yeke.
Wote semeni Infidelity NO..........AMEN!!!
Sauti ya mtu aliliaye nyikani, itengenezeni njia ya bwana, yanyoosheeni mapito yeke.
Wote semeni Infidelity NO..........AMEN!!!
Mwezi wa toba huu kiongozi...:becky:
At least moja tu...
hahahaaAfadhari bana maana tunakoelekea......... kuna jamaa kaacha mtoto Changarawe pale anaitwa Biology.
hahahaa
Naomba niseme mara hii tu, je unakubaliana na hoja yangu ya leo Mhashamu?
Hoja gani... ziko nyingi hapo juu
At least moja tu...
Ngoja nikusaidie Askofu....hoja hii hapa chini!!Itaje...
......hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu anayefanya infidelity akiwa na hizia za mapenzi ya dhati ndani yake....LOVE inakuwa sehemu MOJA tu....
!
Wapwa na mabinamu
Kama siku hiyo umejikuta kifo cha mende kinakubali, JIACHIE...kama umekuta paka chongo, JIACHIE, ukikuta siku hiyo mzuka upo kwenye mbuzi kagoma, jiachieni kwa raha zenu.....usitake kulazimisha kifo cha mende.....Ukikuta siku hiyo ni mambo ye TEMBELE ndo yanakubali.,,jiachieni....tuepuke kudhani kwamba kuna FORMULA katika ufanyaji wa mapenzi....RELAX and do it accordingly.
....
Itaje...
Duh!!! wapi paroko msaidizi P akaangalie sura!!!Afadhari bana maana tunakoelekea......... kuna jamaa kaacha mtoto Changarawe pale anaitwa Biology.
hahahaaaa! mkuu hapa sasa hata Huyu Muumba anaweza asimsamehe!! hata mia?Hahahaha pale kuna jamaa angu mmoja alikuwa anampitia yule MIA dah anafanya infidelity
Duh!!! wapi paroko msaidizi P akaangalie sura!!!
Mtoto huyo na akakue na aone uweza wa Mungu!!!...........Lakini ina maana jamaa alikuwa anasoma PCB au?!!
hahahaaaa! mkuu hapa sasa hata Huyu Muumba anaweza asimsamehe!! hata mia?
God fobidiooo!!!Hahahahaha watu wanaukakasi mzito kwa kutolea wanashindwa ndo hivyo tena.
Ngoja nikusaidie Askofu....hoja hii hapa chini!!
oklay baba Mhashamu......:A S 8: