Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 87
Ni mimi Pekee tu nimebaki Mtumishi, ni mimi tu kukuletea habari hizi....
Endelea na huo moyo Kijana, Mungu atakubariki sana... Mwovu shetani ana vishawishi vingi (kama valuu na infidelity)... achana navyo, hayo ni mambo ya dunia tu na yanapita, Mungu anakupenda...:amen:
Hao wengine, wamekwishaipokea thawabu yao... ila nawaweka katika maombi...
