Makosa waliyofanya wanasheria wa CHADEMA na wanaharakati na ambayo yanaenda kuwagharimu

Makosa waliyofanya wanasheria wa CHADEMA na wanaharakati na ambayo yanaenda kuwagharimu

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Tambua makosa ambayo walifanya wanasheria wa CHADEMA na wanaharakati na ambayo yanaenda kuwagharimu.

Kwanza kitendo cha Sativa kutekwa na kunusurika na pia baadaye Sativa kumtambua Mafwele miongoni mwa watekaji, [kosa/ushauri]*ilibidi CHADEMA kupitia wanasheria wake na baadhi ya wanaharakati wangeenda kufungua kesi kama walivyofanya wakina Madeleka kule Dodoma kwa mama wa ubakaji au Fatma Kagondo.

Kosa lingine Bon Mayai akakimbilia kuripoti taarifa za utekaji na kushare taarifa za Sativa kwenye mitandao ya kijamii badala ya kukimbilia mahakamani ambapo wangemmarza nguvu Mafwele na jeshi la police.

Kosa la pili kuhusu Mnyika na Ally Kibao; Mnyika na Bon Mayai kama walipata taarifa za uhakika kuhusu mauaji ya Mzee Ally Kibao baada ya mazishi wangelistaki tena jeshi la police kwa kosa la mauaji.

Pia John Mnyika alivyoitwa police kuhojiwa angeenda.

Ushauri kwa CHADEMA, nendeni mkafungue kesi au Sativa akafungue kesi juu ya kutekwa kwake na kesi afunguliwe Faustine Mafwele, kumbuka Faustine Mafwele kashatajwa kwenye kesi ya Bon Mayai, hivyo wanasheria nao wa CHADEMA wapambane Mafwele aende mahakamani kujibu mashtaka.

NB: Mechi imefika patamu police ni sawa wamejifungulia kesi, au kujishtaki wenyewe pasipo kujijua kwa hiyo Sativa alindwe ili amfungulie mashtaka Mafwele.

Pia ushahidi muhimu ni kitendo cha Raisi kutoa pesa ya matibabu ya Sativa.

Wanasheria naamini mtanisaidia katika andiko langu na hayo ni mawazo yangu tu.
 
Tambua makosa ambayo walifanya wanasheria wa CHADEMA na wanaharakati na ambayo yanaenda kuwagharimu.

Kwanza kitendo cha Sativa kutekwa na kunusurika na pia badae Sativa kumtambua Mafwele miongoni mwa watekaji,[KOSA/USHAURI]*Ilibidi CHADEMA kupitia wanasheria wake na baadhi ya wanaharakati wangeenda kufungua kesi kama walivyofanya wakina Madeleka kule Dodoma kwa mama wa ubakaji au Fatma Kagondo.
KOSA LINGINE Bon Mayai akakimbilia kuripoti taarifa za utekaji na kushare taarifa za SATIVA kwenye mitandao ya kijamii badala ya kukimbilia mahakamani ambapo wangemmarza nguvu Mafwele na jeshi la police.
KOSA LA PILI KUHUSU MNYIKA NA ALLY KIBAO;J Mnyika na Bon Yai kama walipata taarifa za uhakika kuhusu mauaji ya mzee ALLY Kibao baada ya mazishi wangelistaki tena jeshi la police kwa kosa la mauaji,
Pia John Mnyika alivyoitwa police kuhojiwa angeenda.

USHAURI KWA CHADEMA, nendeni mkafungue kesi au Sativa akafungue kesi juu ya kutekwa kwake na kesi afunguliwe FAUSTINE MAFWELE, kumbuka FAUSTINE Mafwele kashatajwa kwenye kesi ya Bon Yai,hivyo wanasheria nao wa CHADEMA wapambane Mafwele aende mahakamani kujibu mashtaka.
NB:MECHI IMEFIKA PATAMU POLICE NI SAWA WAMEJIFUNGULIA KESI, AU KUJISHTAKI WENYEWE PASIPO KUJIJUA KWAHIYO SATIVA ALINDWE ILI AMFUNGULIE MASHTAKA MAFWELE.
Pia ushahidi muhimu kitendo cha raisi kutoa pesa ya matibabu ya Sativa.
Wanasheria naamini mtanisaidia katika andiko langu na hayo ni mawazo yangu tu.
Tanzania mahakimu na majaji wanafanya kazi kwa vimemo inshort hakuna mahakama bali kikundi cha wahuni
 
Tambua makosa ambayo walifanya wanasheria wa CHADEMA na wanaharakati na ambayo yanaenda kuwagharimu.

Kwanza kitendo cha Sativa kutekwa na kunusurika na pia badae Sativa kumtambua Mafwele miongoni mwa watekaji,[KOSA/USHAURI]*Ilibidi CHADEMA kupitia wanasheria wake na baadhi ya wanaharakati wangeenda kufungua kesi kama walivyofanya wakina Madeleka kule Dodoma kwa mama wa ubakaji au Fatma Kagondo.
KOSA LINGINE Bon Mayai akakimbilia kuripoti taarifa za utekaji na kushare taarifa za SATIVA kwenye mitandao ya kijamii badala ya kukimbilia mahakamani ambapo wangemmarza nguvu Mafwele na jeshi la police.
KOSA LA PILI KUHUSU MNYIKA NA ALLY KIBAO;J Mnyika na Bon Yai kama walipata taarifa za uhakika kuhusu mauaji ya mzee ALLY Kibao baada ya mazishi wangelistaki tena jeshi la police kwa kosa la mauaji,
Pia John Mnyika alivyoitwa police kuhojiwa angeenda.

USHAURI KWA CHADEMA, nendeni mkafungue kesi au Sativa akafungue kesi juu ya kutekwa kwake na kesi afunguliwe FAUSTINE MAFWELE, kumbuka FAUSTINE Mafwele kashatajwa kwenye kesi ya Bon Yai,hivyo wanasheria nao wa CHADEMA wapambane Mafwele aende mahakamani kujibu mashtaka.
NB:MECHI IMEFIKA PATAMU POLICE NI SAWA WAMEJIFUNGULIA KESI, AU KUJISHTAKI WENYEWE PASIPO KUJIJUA KWAHIYO SATIVA ALINDWE ILI AMFUNGULIE MASHTAKA MAFWELE.
Pia ushahidi muhimu kitendo cha raisi kutoa pesa ya matibabu ya Sativa.
Wanasheria naamini mtanisaidia katika andiko langu na hayo ni mawazo yangu tu.
Naunga mkono hoja.
 
Tambua makosa ambayo walifanya wanasheria wa CHADEMA na wanaharakati na ambayo yanaenda kuwagharimu.

Kwanza kitendo cha Sativa kutekwa na kunusurika na pia badae Sativa kumtambua Mafwele miongoni mwa watekaji,[KOSA/USHAURI]*Ilibidi CHADEMA kupitia wanasheria wake na baadhi ya wanaharakati wangeenda kufungua kesi kama walivyofanya wakina Madeleka kule Dodoma kwa mama wa ubakaji au Fatma Kagondo.
KOSA LINGINE Bon Mayai akakimbilia kuripoti taarifa za utekaji na kushare taarifa za SATIVA kwenye mitandao ya kijamii badala ya kukimbilia mahakamani ambapo wangemmarza nguvu Mafwele na jeshi la police.
KOSA LA PILI KUHUSU MNYIKA NA ALLY KIBAO;J Mnyika na Bon Yai kama walipata taarifa za uhakika kuhusu mauaji ya mzee ALLY Kibao baada ya mazishi wangelistaki tena jeshi la police kwa kosa la mauaji,
Pia John Mnyika alivyoitwa police kuhojiwa angeenda.

USHAURI KWA CHADEMA, nendeni mkafungue kesi au Sativa akafungue kesi juu ya kutekwa kwake na kesi afunguliwe FAUSTINE MAFWELE, kumbuka FAUSTINE Mafwele kashatajwa kwenye kesi ya Bon Yai,hivyo wanasheria nao wa CHADEMA wapambane Mafwele aende mahakamani kujibu mashtaka.
NB:MECHI IMEFIKA PATAMU POLICE NI SAWA WAMEJIFUNGULIA KESI, AU KUJISHTAKI WENYEWE PASIPO KUJIJUA KWAHIYO SATIVA ALINDWE ILI AMFUNGULIE MASHTAKA MAFWELE.
Pia ushahidi muhimu kitendo cha raisi kutoa pesa ya matibabu ya Sativa.
Wanasheria naamini mtanisaidia katika andiko langu na hayo ni mawazo yangu tu.
Where there is uncertainty, there also possible solutions
 
Medeleka alifungua kesi Babati kuhusu Gekul nini kilitokea ndugu?
 
Mahakama haziwezi amua kwa haki mambo ya CHADEMA. Kuna "double standards" baina ya Mahakama na Serikali bongo hii.
 
Tambua makosa ambayo walifanya wanasheria wa CHADEMA na wanaharakati na ambayo yanaenda kuwagharimu.

Kwanza kitendo cha Sativa kutekwa na kunusurika na pia baadaye Sativa kumtambua Mafwele miongoni mwa watekaji, [kosa/ushauri]*ilibidi CHADEMA kupitia wanasheria wake na baadhi ya wanaharakati wangeenda kufungua kesi kama walivyofanya wakina Madeleka kule Dodoma kwa mama wa ubakaji au Fatma Kagondo.

Kosa lingine Bon Mayai akakimbilia kuripoti taarifa za utekaji na kushare taarifa za Sativa kwenye mitandao ya kijamii badala ya kukimbilia mahakamani ambapo wangemmarza nguvu Mafwele na jeshi la police.

Kosa la pili kuhusu Mnyika na Ally Kibao; Mnyika na Bon Mayai kama walipata taarifa za uhakika kuhusu mauaji ya Mzee Ally Kibao baada ya mazishi wangelistaki tena jeshi la police kwa kosa la mauaji.

Pia John Mnyika alivyoitwa police kuhojiwa angeenda.

Ushauri kwa CHADEMA, nendeni mkafungue kesi au Sativa akafungue kesi juu ya kutekwa kwake na kesi afunguliwe Faustine Mafwele, kumbuka Faustine Mafwele kashatajwa kwenye kesi ya Bon Mayai, hivyo wanasheria nao wa CHADEMA wapambane Mafwele aende mahakamani kujibu mashtaka.

NB: Mechi imefika patamu police ni sawa wamejifungulia kesi, au kujishtaki wenyewe pasipo kujijua kwa hiyo Sativa alindwe ili amfungulie mashtaka Mafwele.

Pia ushahidi muhimu ni kitendo cha Raisi kutoa pesa ya matibabu ya Sativa.

Wanasheria naamini mtanisaidia katika andiko langu na hayo ni mawazo yangu tu.
Serekali ya watekaji haiogopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma tu.
 
Back
Top Bottom