Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Unaliona hilo bango? Linanikumbusha Tarehe 5 December 2019 niliandika makala nikionya matendo ya serikali ambayo yalikuwa yanakinzana na dunia ya ushindani inavyokwenda, Nilionya baada ya kujiridhisha kwamba Tanzania inaenda kushoto huku Watani zetu wa Jadi Kenya na dunia kwa ujumla wanakwenda kulia kwa mwendo wa kasi.
Nilisema wazi kwamba, Wakati dola nzima iko Ufipa usiku na mchana kuhakikisha Chadema inapata mwenyekiti mdhaifu ambae kwao itakuwa rahisi kuiua Chadema, Majasusi wa Nairobi Kenya na Asmara Eritrea wako duniani wakipambana kutafuta uungwaji mkono katika kuhakikisha nchi zao moja wapo inaingia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Nakumbuka ilikuwa ni kupindi cha Uchaguzi ndani ya Chadema na tulikuwa tunapambana kuhakikisha mamluki wa ccm hawapenyi na kushika uongozi wa chama, Mamluki hao walikuwa wakiongozwa na Cecil Mwambe, Dr Mashinji na vibaraka wengine wadogowadogo. Tuliwadhibiti kwa kura wakakimbia kwa aibu.
Katika ishu ya Kenya na Eritrea kuliwa cheni ya kijasusi ikipigwa na Idara ya Ujasusi ya Djibouti hadi Mkenya akashangaa na roho yake, Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa UNSC liliipata endorsement Kenya kwa upande Afrika kuwa candidate wa Afrika. Ila Djibout ikakataa kujitoa na kumwachia Kenya kiti hicho, Eritrea ikalazimisha nayo kupeleka jina UN kugombea.
Hivyo uchaguzi ikalazimika kuwa wa Kura badala ya Acclamation ambayo ingeipa Kenya moja kwa moja kuwa mwakilishi wa Afrika katika Baraza hilo la Usalama. So kampeni zikaanza kila mmoja akitumia uwezo wake kijasusi kutafuta kura, Ilikuwa vita kali sana na ikitumia skills za kidiplomatic efforts and resources. Kenya iliunda kikosi kazi chini ya mwanadiplomasia jasusi mbobevu Bi Amina Mohamed kuendesha lobbing ambayo hadi leo kwenye korido za kijasusi wanaiita ni ya karne.
The key point angalia ajenda zao hapo kwenye moja ya bango hilo lililotumika katika kampeni, Katika kampeni hii waliyoiita "What Kenya will do on their term", ukiangalia utaona point namba moja ilikuwa ni Bridging Bridging ambapo Bango hilo liliwekwa makao makuu ya UN.
Kipindi hicho niliueleza utawala ule dharimu kwamba vita vya kijasusi vile sio simple kama vile kuua upinzani nchini Tanzania, wamejipanga hao jamaa juu ya Kenya katika uso wa dunia. Slowly wana-take role ya Tanzania Kimataifa. Katika Matokeo ya battle hii Kenya walishinda kwa kishindo.
Huku Tanzania vurugu za Serikali kuua upinzani hazikufanikiwa na nchi ilizidi kuangamia kwa mauaji ya wapinzani na wanaharakati, utekaji na kubambikia kesi na zaidi kwakutengwa na dunia. Nchi ikajikuta imejitenga yenyewe automatic, huku tukiimbishwa nyimbo za kijinga kwamba Tanzania ni dona kantiri, na ujingaujinga mwingine mwingi.
Ilipofika 2021, Si kwamba Tanzania iliendelea kuwa mtani tena wa Kenya, bali ilipoteza ushawishi wote katika eneo la maziwa makuu, Kufumba na kufumbua hata kinchi kidogo kama Rwanda ambacho sisi ndio tulimweka rais wao na kwa miaka mingi tangu Uhuru tulikuwa tukikiongoza kinchi hiki kutokea Kijitonyama na Upanga, sasa kimeipoka Tanzania ile nafasi ya ushawishi kijeshi na kiujasusi kusini mwa jangwa la Sahara. Leo Rwanda iko Msumbiji ikirejesha utulivu. Msumbiji ambako ni eneo muhimu la kimbinu kwa Tanzania liko mikononi mwa Kagame huku Sisi Serikali leo iko busy kuendeleza uzandiki uleule wa tangu 2019 kwa kumbambikia Mbowe kesi ya Ugaidi kwa lengo lilelile la kijinga la kuua upinzani na ccm itawale daima.
Kupanga ni kuchagua lakini uchaguzi wa serikali ya Tanzania ni angamizo kwa nchi. Ili taifa lipone linahitaji katiba mpya tu.
Kwa undani zaidi soma kitabu cha Ujasusi. 0715865544
Na Yericko Nyerere
Nilisema wazi kwamba, Wakati dola nzima iko Ufipa usiku na mchana kuhakikisha Chadema inapata mwenyekiti mdhaifu ambae kwao itakuwa rahisi kuiua Chadema, Majasusi wa Nairobi Kenya na Asmara Eritrea wako duniani wakipambana kutafuta uungwaji mkono katika kuhakikisha nchi zao moja wapo inaingia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Nakumbuka ilikuwa ni kupindi cha Uchaguzi ndani ya Chadema na tulikuwa tunapambana kuhakikisha mamluki wa ccm hawapenyi na kushika uongozi wa chama, Mamluki hao walikuwa wakiongozwa na Cecil Mwambe, Dr Mashinji na vibaraka wengine wadogowadogo. Tuliwadhibiti kwa kura wakakimbia kwa aibu.
Katika ishu ya Kenya na Eritrea kuliwa cheni ya kijasusi ikipigwa na Idara ya Ujasusi ya Djibouti hadi Mkenya akashangaa na roho yake, Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa UNSC liliipata endorsement Kenya kwa upande Afrika kuwa candidate wa Afrika. Ila Djibout ikakataa kujitoa na kumwachia Kenya kiti hicho, Eritrea ikalazimisha nayo kupeleka jina UN kugombea.
Hivyo uchaguzi ikalazimika kuwa wa Kura badala ya Acclamation ambayo ingeipa Kenya moja kwa moja kuwa mwakilishi wa Afrika katika Baraza hilo la Usalama. So kampeni zikaanza kila mmoja akitumia uwezo wake kijasusi kutafuta kura, Ilikuwa vita kali sana na ikitumia skills za kidiplomatic efforts and resources. Kenya iliunda kikosi kazi chini ya mwanadiplomasia jasusi mbobevu Bi Amina Mohamed kuendesha lobbing ambayo hadi leo kwenye korido za kijasusi wanaiita ni ya karne.
The key point angalia ajenda zao hapo kwenye moja ya bango hilo lililotumika katika kampeni, Katika kampeni hii waliyoiita "What Kenya will do on their term", ukiangalia utaona point namba moja ilikuwa ni Bridging Bridging ambapo Bango hilo liliwekwa makao makuu ya UN.
Kipindi hicho niliueleza utawala ule dharimu kwamba vita vya kijasusi vile sio simple kama vile kuua upinzani nchini Tanzania, wamejipanga hao jamaa juu ya Kenya katika uso wa dunia. Slowly wana-take role ya Tanzania Kimataifa. Katika Matokeo ya battle hii Kenya walishinda kwa kishindo.
Huku Tanzania vurugu za Serikali kuua upinzani hazikufanikiwa na nchi ilizidi kuangamia kwa mauaji ya wapinzani na wanaharakati, utekaji na kubambikia kesi na zaidi kwakutengwa na dunia. Nchi ikajikuta imejitenga yenyewe automatic, huku tukiimbishwa nyimbo za kijinga kwamba Tanzania ni dona kantiri, na ujingaujinga mwingine mwingi.
Ilipofika 2021, Si kwamba Tanzania iliendelea kuwa mtani tena wa Kenya, bali ilipoteza ushawishi wote katika eneo la maziwa makuu, Kufumba na kufumbua hata kinchi kidogo kama Rwanda ambacho sisi ndio tulimweka rais wao na kwa miaka mingi tangu Uhuru tulikuwa tukikiongoza kinchi hiki kutokea Kijitonyama na Upanga, sasa kimeipoka Tanzania ile nafasi ya ushawishi kijeshi na kiujasusi kusini mwa jangwa la Sahara. Leo Rwanda iko Msumbiji ikirejesha utulivu. Msumbiji ambako ni eneo muhimu la kimbinu kwa Tanzania liko mikononi mwa Kagame huku Sisi Serikali leo iko busy kuendeleza uzandiki uleule wa tangu 2019 kwa kumbambikia Mbowe kesi ya Ugaidi kwa lengo lilelile la kijinga la kuua upinzani na ccm itawale daima.
Kupanga ni kuchagua lakini uchaguzi wa serikali ya Tanzania ni angamizo kwa nchi. Ili taifa lipone linahitaji katiba mpya tu.
Kwa undani zaidi soma kitabu cha Ujasusi. 0715865544
Na Yericko Nyerere