Makosa ya kiufundi kumpindua Rais wa DRC ni haya

Tangu lini wakongo wakawa serious?
 
Angeshika Radio ya Taifa kwanza na kufunga Mipaka na Airport zote angelianzisha usiku wakati Raisi kalala halafu anamuingilia Ikulu halafu analipasua lile tumbo kwa shaba.
Baada ya mapinduzi ukifanikiwa kumkamata raisi kamwe usimue kwanza atleast kaa nae kama miezi sita..hii ni kutokana na wataalaam wa mapinduzi .unamweka house arrest sio kwamba unampenda ana kazi hii

1. Kujua hela za serikali na madeni
Rais ulimpindua atakusaidia kujua hela zote zilipo na nini kinaendelea upande wa hela za kiserikali na madeni yake

2.mikataba ya siri
Akupe mikataba yote ya siri kumbuka serikali ina mikataba mingi ya siri kuliko.ya uwazi so rais ulimpindua ni kazi yake kukupa uelekeo

3.siri za kijeshi na maadui wa utawala wake kimya kimya ambao nao kwa namna moja watakuja kuwa maadui wako hapo ulimpindua atakwambia na mambo mengine mengin


Stage inayofuata mageneral wa kijeshi wote walikuwa chini ya rais ulimpindua kuna mawawili nusu watao jifanya wajuaji usipoteze muda unawaua ....walio baki wote unawapa ubalozi kwenye nchi ngumu na za mbali sana

Watu wote ulishiriki nao kupindua nchi hasa close friends nao unawapa ubalozi maana nao huwa wanakupindua ukizengua
 

Kosa la kupinduliwa na marafiki lilitendeka Sudan na Burkinafaso
 
Dah...
Mambo yako Kasi Sanaa...
Sema Hawa jamaa hawakujipanga.

Ila DR Congo hakuna Rais pale..

Atapumzishwa mapema.
 
Hakua na resources ivyo Alizani kupitia matangazo atapata support kwa haraka ..kumbe alikua ni sawa na jambazi
 
Huyu mzee siku si nyingi wanamla kichwa. Huyu Malanga angeweza tu kupanga watu vizuri na kupewa taarifa sahihi za raisi mahala alipo ingekua ni acheche.
 
Mapinduzi ya nchi unayatangazia Facebook? Watu wanaopindua nchi huwa wanapindua kwa style ile ?
Hapo kwel, ile ilikua kiki tu, hakukua na serious biznes pale.
Kagame lazima anahusika ili ionekane sio yeye tu na m23 yake wenye uhasama na Felix, wamfanye a divide attention yake kumbe ni the same man PK
 
Hapo kwel, ile ilikua kiki tu, hakukua na serious biznes pale.
Kagame lazima anahusika ili ionekane sio yeye tu na m23 yake wenye uhasama na Felix, wamfanye a divide attention yake kumbe ni the same man PK
Itajulikana tu maana ni kulikua na mamluki kibao tu..kuna waliokutwa na hadi US passport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…