Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,187
Tangu kukamilika kwa Thirty Years War (1618 - 1648) na kusainiwa kwa Westphalia Treaty mwaka 1648, Nchi za Uingereza na Ufaransa zilitawala Siasa na Uchumi wa Ulaya. Uingereza kupitia Industrial Revolution iliyoanza 1780s ili-dominate uchumi wa Dunia huku Ufaransa akidominate siasa za Ulaya. Kulikuwepo States nyingine kubwa za Austria, Spain na Russia na Prussia zilizokuwa zikipigana na mataifa madogo madogo ya Ulaya na kujitanua.
Hata hivyo, check and balance iliyobuniwa na Mataifa ya Ulaya baada ya 1648, ilisababisha kutokuwepo kwa mbabe mmoja pekee Ulaya, mpaka alipojitokeza Mtawala wa Ufaransa aitwaye Napoleon Bonaparte in 1890s - 1810s, aliyevamia Mataifa karibia yote ya Ulaya na kushindwa tu Uingereza iliyokuwa na Superior Navy kuliko ya Ufaransa. Hata hivyo, ukoloni huo wa Ufaransa kwa mataifa ya Ulaya, ulisababisha Nationalism kubwa sana barani Ulaya hasa kwa mataifa huru ya kijerumani yakiongozwa na Austria na Prussia.
Baada ya Napoleon kuanguka 1812, Prussia na Austria, ambazo ni za kijerumani zilipata nguvu ya kutaka kujaza Vacuum iliyoachwa na Utawala wa Ufaransa katika Central Europe. Kipindi hicho, kulikuwepo appetite ya mapinduzi ya wananchi katika Ulaya nzima lakini tawala za kifalme hazikutaka Serikali za kidemokrasia.
Baada ya pressure za kidemokrasia kuzidi, Mfalme wa Prussia, Wilhelm I, alimteua mwaka 1861 Otto von Bismarck kuwa Chancellor na huyu jamaa alipanga mbinu za kupigana na Austria ili aweze kucontrol mataifa madogo ya Kijerumani. Hivyo, ilitokea bahati nzuri mwaka 1864 Denmark ilivamia Jimbo la Schleswig-Holstein linalokaliwa na Wajerumani wengi kuliko Wadanish. Bismarck aliikaribisha Austria kuipiga Denmark na kuweza kugawana Jimbo hilo mwaka 1864.
Hata hivyo, Prussia ambayo ilikuwa imeshaanza ku-undergo Industrial Revolution (tangu 1840s) ilitaka kuipiga Austria ili itawale Majimbo yote ya Wajerumani ambapo hadi kipindi hicho, Wajerumani ndio Taifa (Nation) pekee barani Ulaya pamoja na Waitalia ambalo hawakuwa unified chini ya Taifa na Dola (Sovereign State) moja.
Hata hivyo, Bismarck alijua kuwa, kukua kwake kumeshaanza kuogopesha wengine na kwamba Mataifa mengine ya Ulaya hasa Uingereza na Ufaransa yasingeruhusu Prussia kuipiga Austria (ambayo hadi kipindi hicho ilichukuliwa ni Taifa kubwa kuliko Prussia). Hivyo Bismarck aliingia mikataba ya kirafiki na Ufaransa na Italia ya kutoingiliana in case kuna mgogoro na nchi nyingine, so mwaka 1866, Prussia ilipigana na Austria na kuipiga kwa aibu ndani ya muda mfupi na kufanikiwa kuanzisha German Confederation.
Kipigo cha Austria kiliwashangaza Wazungu coz hawakutarajia Prussia kuishinda. Ilileta hofu na lawama huko Ufaransa na Uingereza jinsi walivyoruhusu kuanzishwa kwa Dola jingine kubwa katika Central Europe. Prussia iliunganisha majimbo yote ya kijerumani isipokuwa Majimbo ya Kusini ya Bavaria (Bayern) na Baden Wurttemberg yaliyoko karibu na Austria. Hivyo, Bismarck aliona kuwa, ni Vita na Ufaransa pekee ambayo ingesababisha Majimbo hayo kujiunga na Ujerumani mpya.
Opportunity hiyo ilijitokeza mwaka 1870 wakati kulipozuka mzozo wa kiplomasia kati ya Ufaransa na Prussia juu ya nani alipaswa kutawala Hispania baada ya Mfalme kufariki na kubaki wazi. Mzozo huo ulisababisha Prussia kumfukuza Balozi wa Ufaransa Mjini Berlin baada ya Balozi huyo kumlazimisha Mfalme wa Prussia aahidi kutojihusisha na masuala ya Utawala wa Hispania, suala ambalo Mfalme aliona amedharauliwa.
Kukataa kwa Prussia juu ya wito wa Ufaransa, kuliwaudhi sana Wafaransa na kuhisi Prussia imewasaliti, so Ufaransa ilitangaza vita dhidi ya Prussia. Kumbuka hadi kipindi hicho, Ufaransa lilikuwa Taifa la pile Ulaya na la tatu duniani nyuma ya Uingereza na Marekani pekee katika matatifa yenye nguvu.
But katika hali ambayo ilishangaza Dunia nzima, Jeshi la Ujerumani (hata majimbo ya Kusini yaliungana na Prussia) liliipiga vibaya Ufaransa na kuteka Mji Mkuu wa Paris mwaka 1871. Vita hiyo imeacha mpaka Leo doa Kuu kwa Ufaransa na hata Waingereza wanajilaumu pia jinsi walivyoruhusu Wajerumani kuungana na kuwa Taifa lenye nguvu za kijeshi kuliko yote barani Ulaya na lenye uchumi wa pili nyuma ya Uingereza.
Much more to come.....
Nawasilisha wazee.
Hata hivyo, check and balance iliyobuniwa na Mataifa ya Ulaya baada ya 1648, ilisababisha kutokuwepo kwa mbabe mmoja pekee Ulaya, mpaka alipojitokeza Mtawala wa Ufaransa aitwaye Napoleon Bonaparte in 1890s - 1810s, aliyevamia Mataifa karibia yote ya Ulaya na kushindwa tu Uingereza iliyokuwa na Superior Navy kuliko ya Ufaransa. Hata hivyo, ukoloni huo wa Ufaransa kwa mataifa ya Ulaya, ulisababisha Nationalism kubwa sana barani Ulaya hasa kwa mataifa huru ya kijerumani yakiongozwa na Austria na Prussia.
Baada ya Napoleon kuanguka 1812, Prussia na Austria, ambazo ni za kijerumani zilipata nguvu ya kutaka kujaza Vacuum iliyoachwa na Utawala wa Ufaransa katika Central Europe. Kipindi hicho, kulikuwepo appetite ya mapinduzi ya wananchi katika Ulaya nzima lakini tawala za kifalme hazikutaka Serikali za kidemokrasia.
Baada ya pressure za kidemokrasia kuzidi, Mfalme wa Prussia, Wilhelm I, alimteua mwaka 1861 Otto von Bismarck kuwa Chancellor na huyu jamaa alipanga mbinu za kupigana na Austria ili aweze kucontrol mataifa madogo ya Kijerumani. Hivyo, ilitokea bahati nzuri mwaka 1864 Denmark ilivamia Jimbo la Schleswig-Holstein linalokaliwa na Wajerumani wengi kuliko Wadanish. Bismarck aliikaribisha Austria kuipiga Denmark na kuweza kugawana Jimbo hilo mwaka 1864.
Hata hivyo, Prussia ambayo ilikuwa imeshaanza ku-undergo Industrial Revolution (tangu 1840s) ilitaka kuipiga Austria ili itawale Majimbo yote ya Wajerumani ambapo hadi kipindi hicho, Wajerumani ndio Taifa (Nation) pekee barani Ulaya pamoja na Waitalia ambalo hawakuwa unified chini ya Taifa na Dola (Sovereign State) moja.
Hata hivyo, Bismarck alijua kuwa, kukua kwake kumeshaanza kuogopesha wengine na kwamba Mataifa mengine ya Ulaya hasa Uingereza na Ufaransa yasingeruhusu Prussia kuipiga Austria (ambayo hadi kipindi hicho ilichukuliwa ni Taifa kubwa kuliko Prussia). Hivyo Bismarck aliingia mikataba ya kirafiki na Ufaransa na Italia ya kutoingiliana in case kuna mgogoro na nchi nyingine, so mwaka 1866, Prussia ilipigana na Austria na kuipiga kwa aibu ndani ya muda mfupi na kufanikiwa kuanzisha German Confederation.
Kipigo cha Austria kiliwashangaza Wazungu coz hawakutarajia Prussia kuishinda. Ilileta hofu na lawama huko Ufaransa na Uingereza jinsi walivyoruhusu kuanzishwa kwa Dola jingine kubwa katika Central Europe. Prussia iliunganisha majimbo yote ya kijerumani isipokuwa Majimbo ya Kusini ya Bavaria (Bayern) na Baden Wurttemberg yaliyoko karibu na Austria. Hivyo, Bismarck aliona kuwa, ni Vita na Ufaransa pekee ambayo ingesababisha Majimbo hayo kujiunga na Ujerumani mpya.
Opportunity hiyo ilijitokeza mwaka 1870 wakati kulipozuka mzozo wa kiplomasia kati ya Ufaransa na Prussia juu ya nani alipaswa kutawala Hispania baada ya Mfalme kufariki na kubaki wazi. Mzozo huo ulisababisha Prussia kumfukuza Balozi wa Ufaransa Mjini Berlin baada ya Balozi huyo kumlazimisha Mfalme wa Prussia aahidi kutojihusisha na masuala ya Utawala wa Hispania, suala ambalo Mfalme aliona amedharauliwa.
Kukataa kwa Prussia juu ya wito wa Ufaransa, kuliwaudhi sana Wafaransa na kuhisi Prussia imewasaliti, so Ufaransa ilitangaza vita dhidi ya Prussia. Kumbuka hadi kipindi hicho, Ufaransa lilikuwa Taifa la pile Ulaya na la tatu duniani nyuma ya Uingereza na Marekani pekee katika matatifa yenye nguvu.
But katika hali ambayo ilishangaza Dunia nzima, Jeshi la Ujerumani (hata majimbo ya Kusini yaliungana na Prussia) liliipiga vibaya Ufaransa na kuteka Mji Mkuu wa Paris mwaka 1871. Vita hiyo imeacha mpaka Leo doa Kuu kwa Ufaransa na hata Waingereza wanajilaumu pia jinsi walivyoruhusu Wajerumani kuungana na kuwa Taifa lenye nguvu za kijeshi kuliko yote barani Ulaya na lenye uchumi wa pili nyuma ya Uingereza.
Much more to come.....
Nawasilisha wazee.