Makosa ya Ufaransa kuruhusu Prussia kuipiga Austria probably ndio kubwa katika Historia ya Wafaransa na Waingereza

Makosa ya Ufaransa kuruhusu Prussia kuipiga Austria probably ndio kubwa katika Historia ya Wafaransa na Waingereza

Nilirefer situation ya Mjerumani kuwa hana makoloni lakini kumpita Muingereza( During Hitler's Era)
Oohhh, kama ni kwa enzi za ukoloni hasa Inter-Wars Period (1920-1940) Ujerumani ilikuwa na watu wengi so, iliizidi Uingereza but on per capita ilikuwa inazidiwa mbali.
Utaona mfano, mwaka 1935, Ujerumani ilikuwa na wakazi zaidi ya milioni 70 na Uingereza milioni 47, so it is likely kumzidi Muingereza lakini katika hali ya kushangaza Ujerumani ilichelewa sana kumzidi Muingereza on per capita mpaka ilipofika miaka ya late 1970s.
IMG_5225.JPG

IMG_5212.PNG
 
Nilirefer situation ya Mjerumani kuwa hana makoloni lakini kumpita Muingereza( During Hitler's Era)
Nilipokuwa Primary tulisoma kuwa, umasikini wetu ulitokana na kunyonywa na wakoloni but nilianza kuikataa hiyo theory moja kwa moja tangu nikiwa Form III. Hiyo ni baada ya kusoma jinsi Ujerumani na Belgium zilivyokuwa na nguvu ya Viwanda kuzidi Nchi zote duniani kipindi hicho cha ukoloni kuanzia 1840 - 1940, nyuma tu ya Uingereza na USA na ahead of France, Spain, Italy na Portugal zilizokuwa na makoloni.
Mbona Zimbabwe ilitawaliwa na kuwa ya tatu kutoka mwisho kupata uhuru - mbele ya Namibia na SA but wako developed kuliko nchi nyingine za Afrika. What about Ethiopia and Liberia who were never colonized, are they developed?
 
Ujerumani ni taifa la kwanza lenye nguvu kichumi ulaya,na siyo Uingereza.Kwa taarifa yako isingekuwa vita vya pili vya dunia basi ujerumani lingekuwa taifa number 1 lenye nguvu kiuchumi duniani.
 
Ujerumani ni taifa la kwanza lenye nguvu kichumi ulaya,na siyo Uingereza.Kwa taarifa yako isingekuwa vita vya pili vya dunia basi ujerumani lingekuwa taifa number 1 lenye nguvu kiuchumi duniani.
Sure wala hakuna anayekataa hilo. But hoja Kuu ilikuwa mchango wa makoloni kwa maendeleo ya Wazungu.
Hata hivyo kamwe, Ujerumani isingeifikia Marekani kwa sababu ya limitation rasilimali watu but pia rasilimali maliasili.
Tofauti na mtazamo wa watu wengi kuwa Marekani haina maliasili za kutosha. Kiukweli ndilo Taifa lenye rasilimali za asili nyingi kuliko nchi zote duniani na inakaribiwa tu na Russia (na possibly DRC).
Kwa maliasili, Russia, Uingereza na Ukraine zinaizidi Ujerumani. Wajerumani wamekuwa wakisaidiwa zaidi na usmart wao lakini wao wanajivunia tu madini ya Coal (Ruhr), mengine kama Limestone, Gesi, chuma vipo but kwa kiwango kidogo.
 
Umgambilwa ni Mntu, nimekubali sana brother, but also I appreciate the Germany strategy since the Hon. Con. Bismarck akili kubwa iliyo onwa na mfalme Wilhelm I. Wako samart mpaka leo na isingekuwa WWI Tanganyika ingekuwa zaidi ya SA leo kiuchumi. Basi tu bahati haikuwa yetu.
 
Licha ya Ujerumani kubwa ha mbali on GDP, but still Ujerumani na Uingereza hawatofautiani sana kwenye GDP on per Capita. GDP ya Ujerumani imekuwa kubwa zaidi kutokana na kuwa na watu wengi pia (milioni 82 vs milioni 65).
Population na GDP wapi na wapi hebu angalia China vs USA, Nigeria vs Nchi za Ulaya nk unaweza ukawa na lundo LA watu kumbe wao maisha ni kubet tu na kuvuta bangi
 
Umgambilwa ni Mntu, nimekubali sana brother, but also I appreciate the Germany strategy since the Hon. Con. Bismarck akili kubwa iliyo onwa na mfalme Wilhelm I. Wako samart mpaka leo na isingekuwa WWI Tanganyika ingekuwa zaidi ya SA leo kiuchumi. Basi tu bahati haikuwa yetu.
Well said mzee. Kweli Bismarck alionyesha akili kubwa sana hasa alivyofanikiwa ku-maneuver Balozi wa Ufaransa kwenye Ems Tekegram mwaka 1870. Incident hiyo ndiyo ilisababisha Franco-Prussian War kwani Wafaransa hadi kipindi hicho walikuwa ndo wameendelea zaidi kuliko Ujerumani but hawakujua kuwa, Prussia alikuwa ameshaboresha silaha zake kwa kiwango kikubwa ambazo zilikuwa zikitenfenezwa na Kampuni ya Friedrich Krupp AG eneo la kiviwanda la Ruhr (Essen).
 
Licha ya Ujerumani kubwa ha mbali on GDP, but still Ujerumani na Uingereza hawatofautiani sana kwenye GDP on per Capita. GDP ya Ujerumani imekuwa kubwa zaidi kutokana na kuwa na watu wengi pia (milioni 82 vs milioni 65).
Wait, hivi ukiwa na population kubwa isiyozalisha still utakuwa na per capita kubwa!!!!
 
Population na GDP wapi na wapi hebu angalia China vs USA, Nigeria vs Nchi za Ulaya nk unaweza ukawa na lundo LA watu kumbe wao maisha ni kubet tu na kuvuta bangi
Nimewaza the same.
 
Nini haswa kilimfanya mmarekani alietawaliwa na muingereza kuinuka kiuchumi na kumpita muingereza?
 
Wait, hivi ukiwa na population kubwa isiyozalisha still utakuwa na per capita kubwa!!!!
Naona hapa hatukuelewana. Uingereza na Ujerumani yamekuwa ni mataifa ya kiviwanda tangu miaka ya 1780s na 1840s respectively and for that matter, haitegemewi kuwa yanazidiana kwenye vipato vya mtu mmoja mmoja. Nchi zote hizo ni za Wazungu wa Ulaya ya Kaskazini (Teutonic).
Shida inakuja kuwa, licha ya Ujerumani kuongoza kwenye industrial production, Uingereza amejikuta ame-specialize kwenye Services industry hasa Banking. Ni biashara ya mabenki ndiyo inayoipa kiburi Uingereza hata ya kutaka kujitoa (Brexit) Ulaya. Watu wengi duniani wameweka fedha zao UK kuliko nchi yoyote ya Ulaya hata Uswisi haioni ndani.
IMG_6312.jpg

So najua mnafahamu kipato cha wanaofanya kazi katika Banking Industry jinsi kilivyo kikubwa. Hivi vitu ndo vimesababisha Uingereza kuizidi Ujerumani kwa muda wote huo.

Labda niiweke hivi, Maeneo yote ya kiviwanda na makaa ya mawe (heavy indusry) yaliyozipa nguvu Uingereza (Lancaster), Ubelgiji (Wallonia), Ujerumani (Ruhr) Ufaransa (Nord), Marekani (Mid-East), Poland (Silesia), Ukraine (Donbass) na Russia (Kuzbass), ndiyo yenye hali ngumu sana ya kiuchumi kwenye nchi hizo. So, viwanda vimebadilika sana Ulaya, ambapo hawawezi kushindana na Asian Tigers (Korea, Taiwan, Singapore, Philippines na Thailand) katika viwanda vya Electronics na ICTs kwa ujumla. Bahati mbaya automation ndo mpango mzima kwa viwanda vya sasa.
So, licha ya Majimbo ya Ujerumani ya Bavaria (Bayern) na Baden Wurttemberg kuongoza kwa uchumi imara sana barani Ulaya, bado Ujerumani inaangushwa na Majimbo ya Mashariki, pamoja na Jimbo la NRW (lilikokuwa na viwanda vingi zamani). Maeneo mengi ya Uingereza nayo yako worse zaidi but yanasaidiwa sana kwenye takwimu na uchumi wa London.
Mbona Tanzania tuko namba mbili kwa uchumi mkubwa Afrika Mashariki nyuma ya Kenya lakini tuko namba nne on per capita tukizidiwa na Kenya, Uganda na Rwanda?
Ndiyo maana niliandika huko juu kuwa, lugha ya kiingereza, inawasaidia sana kimaisha Waingereza.

Sorry New York, But London Is The World's Real Capital City
 
Nini haswa kilimfanya mmarekani alietawaliwa na muingereza kuinuka kiuchumi na kumpita muingereza?
Tofauti na mitazamo ya Watu wengi duniani, lakini ukweli ni kuwa, Marekani ndiyo Nchi iliyojaliwa kwa rasilimali muhimu na nyingi kuliko Nchi zote duniani. Anyway, inazidiwa kidogo kwenye rasilimali za madini lakini ardhi ya Marekani ina eneo kubwa linalofaa kwa kilimo kuliko Nchi zote duniani and just only second to China.
Vilevile, Marekani ni ya tatu kwa watu wengi zaidi duniani. Bahati nzuri, siyo tu kuwa na watu wengi bali well educated human resources. Hawa ndio wamekuwa wakivumbua vitu vingi vinavyoifanya Marekani kuzishinda Nchi zote duniani. Yes, China ina watu wengi kwa zaidi ya mara nne ya Wamarekani lakini wamechelewa kuwa na well educated human personnels kulinganisha na Marekani na China haina madini mengi kama Marekani.
So, unapoongelea Marekani, ujue ina utajiri mkubwa wa rasilimali za asili (natural resources) radilimali madini na radilimali watu bora duniani and just second to none.
Sijatoa takwimu ya kitu chochote katika haya niliyoyasema kwa sababu inaweza kuchukua muda kuziweka sawa takwimu ili kueleweka vyema but kama Mtaalamu wa Regional Geography, iweke katika kumbukumbu yako kuwa, the Americans are really the monsters.
Mfano: tunaweza sisi Watanzania kujidai kuwa tuna gesi nyingi baharini kiasi cha trillion 57 cft lakini Marekani ana zaidi ya trillion 320 cft, ambazo ni zaidi ya mara tano ya Tanzania, right?
Hatuna mafuta but Marekani wana crude oil zaidi ya mapipa bilioni 35, akizidiwa Afrika na Libya na Nigeria pekee.
Anazalisha dhahabu nyingi kwa zaidi ya mara tano ya Tanzania. Katika peak mwaka 1998, US walizalisha zaidi ya mara saba ya kiwango cha Tanzania ilipokuwa katika peak mwaka 2005. Hii inaweza kuonyesha kidogo who is rich at least kwa hivyo vichache tu bila kuweka Coal, Copper, iron ore, aluminium na uranium.

IMG_6321.jpg

IMG_6320.jpg
 
Nini haswa kilimfanya mmarekani alietawaliwa na muingereza kuinuka kiuchumi na kumpita muingereza?
USA imepatikana baada ya revolution before that it was called British empire tuu in new world. walkua na viongozi majembe sana america ya ile declaration of independece ni ilkua hatari ilihamasisha mapinduzi bara lote la america... na shida ilibuk baada ya wazungu wazawa kuona kama wazungu wa UK wanawanyonya kama watumwa tafuta declaration of independence uone story zake
 
USA imepatikana baada ya revolution before that it was called British empire tuu in new world. walkua na viongozi majembe sana america ya ile declaration of independece ni ilkua hatari ilihamasisha mapinduzi bara lote la america... na shida ilibuk baada ya wazungu wazawa kuona kama wazungu wa UK wanawanyonya kama watumwa tafuta declaration of independence uone story zake
Ngoja nitaitafuta mkuu.
 
USA imepatikana baada ya revolution before that it was called British empire tuu in new world. walkua na viongozi majembe sana america ya ile declaration of independece ni ilkua hatari ilihamasisha mapinduzi bara lote la america... na shida ilibuk baada ya wazungu wazawa kuona kama wazungu wa UK wanawanyonya kama watumwa tafuta declaration of independence uone story zake
Kwenye maendeleo huwa ni sawa sawa tu na maisha ya mwanadamu. Mpaka sasa kuna watu wengi hapa Tanzania wanaamini kuwa, Tanzania hatufanyi vyema kwenye soka eti miundombinu ni mibovu, mimi nitakuwa wa mwisho kuamini kitu kama hicho. Ni lazima kwanza kipaji kiwepo halafu ndo miundombinu ije lakini si kuwa na viwanja vingi na academy lakini watu wenyewe mpira ni hola. Ingekuwa mpira ni miundombinu, Canada, Australia, New Zealand zingekuwa pia among the top in the world na katika Afrika, South Africa wangekuwa wanachukua ubingwa kila siku right?
China Ana academies nyingi za mpira possibly kuzidi kote labda nyuma tu ya USA but where are they?
Vipaji vya muziki Bongo Fleva na jinsi tulivyofunika Afrika Mashariki na Kati tulifanya nini exceptional hadi tukawa na wanamuziki wazuri wengi?
 
Back
Top Bottom