UDSM unaanza kuletea watu PAST PAPERS!!!??? Mmekuwaje nyie vijana wa UDSM siku hizi! Nani anayewatengenezea hayo materials (madesa)? Ni walimu wenu ama mnatoa katika tuition mnazosoma (maana naambiwa kuna watu wanasoma tuition maeneo ya Msewe)?
Mheshimiwa tulia...waachie watu wa UDSM....Nadhani umeona title inahusu WANA UDSM sasa wewe sijui wa wapi umeingia huku kutafuta ni nini????[/QUOTE
, kama ni mambo ya wana udsm peleken nkuruma hall ndo mjadilie huko, mtoe upuuz wenu hapa
Me mwenyewe wkt niko first year udsm nimewah kusoma tution ya accounts kule changanyikeni.
Mheshimiwa tulia...waachie watu wa UDSM....Nadhani umeona title inahusu WANA UDSM sasa wewe sijui wa wapi umeingia huku kutafuta ni nini????
UDSM unaanza kuletea watu PAST PAPERS!!!??? Mmekuwaje nyie vijana wa UDSM siku hizi! Nani anayewatengenezea hayo materials (madesa)? Ni walimu wenu ama mnatoa katika tuition mnazosoma (maana naambiwa kuna watu wanasoma tuition maeneo ya Msewe)?
jaman kama ndo hali imekua hivo basi chuo kinakufa mie nimemaliza 2008 hakukuwa na ujinga huo wa tution. kama ni hand out za lectures hapo sawa
Mheshimiwa tulia...waachie watu wa UDSM....Nadhani umeona title inahusu WANA UDSM sasa wewe sijui wa wapi umeingia huku kutafuta ni nini????