Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
Quantum Physics na wenzakeSasa unasoma nini katika non fiction?
Mambo ya cosmos
History & pre history
Self help books
How to books
Film & television books
Nutrition books etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quantum Physics na wenzakeSasa unasoma nini katika non fiction?
Teh ...We umezoea vitu vigumu vigumu vya Teala mpaka vitu rahisi unaviona vigumu.
Wife anapenda sana kusomaQuantum Physics na wenzake
Mambo ya cosmos
History & pre history
Self help books
How to books
Film & television books
Nutrition books etc
Safi sana, mimi natafuta cha kuanza kusoma sasa, nimemaliza kusoma "Frederick Douglass: Prophet of Freedom" cha David Blight.Quantum Physics na wenzake
Mambo ya cosmos
History & pre history
Self help books
How to books
Film & television books
Nutrition books etc
Yule hana uwezo wa kufikia akili yako.. Uwezo wako wa kureason na kuargue ni world class ability. Mshana Jr ni mbabaishaji alietaka kupata cheap popularity kupitia kwako I'm glad ulimpa za uso kwa facts in issue through logic and rhetoric.Kuna kubishana, halafu kuna kuchezea kipigo.
Mshana Jr kwangu anachezea kipigo tu.
'Watu unaokutana nao na vitabu unavyosoma'..!!
Nimepaelewa mno hapo, issa naked truth.!!
NAKAZIA hapa kwa herufi kubwa'Watu unaokutana nao na vitabu unavyosoma!
Nimepaelewa mno hapo, issa naked truth!
😂😂😂. Siwezi kugawa au kuuza vitabu. Nimeshindwa kabisa. Na utunzaji wa vitabu ni full time job. Ndo maana vitabu vyangu huwa navipeleka nyumbani kwa wazazi kwasababu wana library system ya kutunza vitabu.
Nipige tunguli vidole vishindwe kuandika hapa JF, tujue tunguli zako zinafanya kazi na si hadithi za uongo tu.Nimnyooshe mara ngapi sasa[emoji848][emoji13][emoji13]
Kujenga hoja ni sayansi ya kimahesabu inayotaka ujuvi wa kuwa umesoma vitabu vingi na uwe na knowledge pana.Mshana hajui lugha na hawezi kujenga hoja kimantiki.
Quite possibly hajui lugha kwa sababu hawezi kufuatilia hoja kimantiki.
Kabisa. Watu wengi wanachukulia poa vitabu hawatunzi. Yaani kwao siyo kitu cha maana.Sina uchoyo wa vitu isipokua kwenye vitabu. Ukihitaji ntakwambia njoo usome nyumbani ukimaliza kiache. Na sababu ni kwamba, mwingine atapata mhemuko anakuomba kitabu hata kama hata kisoma na hakirudishi.
Pili unaweza kubahatika mtu akakirudisha lakini utunzaji tunatofautiana, kitabu kinarudi lakini unakikataa kwamba sio chenyewe kwa jinsi kilivyobadilika rangi na muonekano, hapo sijaongelea wale wanachora au kuweka highlighter kwa maandishi.
Quantum Physics na wenzake
Mambo ya cosmos
History & pre history
Self help books
How to books
Film & television books
Nutrition books etc