Sra ya Elimu, 1995 inaitaka Maktaba (Tanzania Library Service) kuanzisha na kusimamia maktaba za shul. Hiyo imekuwa ndoto. Mbzya zaidi, hata Maktaba Kuu ya Tifa - Maktaba Complex hakuna vitabu, kuna nakala si zaidi ya kumi hususani vya kufundishia. Ili kupata kitabu inabidi usubiri mtu amaloze kusoma.