Maktaba za umma zinatekeleza majukumu yake?

Nkwakwa

New Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Tunalaumu Walimu kuwa chanzo cha mdororo wa elimu hapa Tanzania. Je vyombo vilivyoundwa ili kusaidia kuboresha elimu (kama vile Maktaba za Umma) vinatekeleza majukumu vilivyopewa?

Mdadisi
 
Sra ya Elimu, 1995 inaitaka Maktaba (Tanzania Library Service) kuanzisha na kusimamia maktaba za shul. Hiyo imekuwa ndoto. Mbzya zaidi, hata Maktaba Kuu ya Tifa - Maktaba Complex hakuna vitabu, kuna nakala si zaidi ya kumi hususani vya kufundishia. Ili kupata kitabu inabidi usubiri mtu amaloze kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…