Mwanamme wa dar humjui.?ESCORT 1 said:Makubwa yaliyoibuka ni yapi mh mtoa mada?
Hawafahamu,show za nje wanapiga sana hawa jamaa na wanajaza watu hatari!Nafikiri navy kenzo wewe labda ulkiua huwajui wale watu level zingine. Wametoboa kimataifa kitambo sio sababu ya wimbo wa katika
Navy maana yake ni jeshi la majini nahisi hawa wanattokea Kule UKARAnavy kenzo ametokea nchi gani?