Makubwa yaliyompata jamaa yangu

Makubwa yaliyompata jamaa yangu

Kiongozi! Sina chuki na hizi Ghost names za JF ....wacha tubaki na anonymity zetu....shida yangu ni wale wanaoleta post kama hii ya kwako haina mashiko. Unaweza kuingia kwenye Ignore list ila kwenye real life tunakunywa kahawa na kashata pamoja. Labda nikuulize ulifikiria nini great thinker kuweka hii kitu? Unajua ukijua mtu anakudanganya na wewe ukakubali kudanganywa mtu huyu ataendelea kuwa muongo.

Bon week end
NIA YA THREAD.
1.UNAWEZAFANYA KITU UKAJIONA NI SIRI SANA LAKINI MUNGU AKAKIWEKA WAZI.
2.NI VEMA KUWA WAAMINIFU.
3.MKIKOSEA WOTE KWENYE NDOA USIMSUKUMIZIE MWENZIO KWA VILE WEWE NI MJANJA.
4.VITU,HALI,NA MAMBO YA INTERNET YANAWEZA KUWA TOFAUTI KABISA NA HALI HALISI.

nawasilisha mkuu.
 
mheshimiwa jaji (lawyer)kama huikubali nabadilisha lawyer sina imani na wewe,kwanza utasikilizaje shauri wakati GLASS YA POMBE IPO PEMBENI NAIONA? NABADLISHA LAWYER,AU NAKATA RUFAA.
Jaji mkuu ndiye aliyeninunulia hiyo bia iliyoisha hapo......
 
hehehe wewe umesomea sheria zinazohusiana na vinywaji bana hapa tunaongelea sheria za JF a.k.a mkono mtupu haulambwi. nimejaribu kumbipu lawyer wa marehemu maiko jakson aje kumpapatua TALL, lakini baada ya kumpa maelezo kasema bora ajiuzulu kuliko kuitetea hii sredi.

hii sredi ina utata kama mpira wa JABULANI.
karibu mahakamani,mkuu wa upande wa walalamikaji je una sababu zozote za kuikataa?
 
kuna watu wana hoja za kitoto na ubishi wa ukoo/wa kurithi, yaani mtu kukubali kuchemsha si ni kawaida tu, ni nani asiyeshemsha katika hii dunia

Tall Heshima yako ni kubwa hebu mwombe Mode aifunge hii thread, na utuletee vitu vya ukweli
 
Jaji mkuu ndiye aliyeninunulia hiyo bia iliyoisha hapo......
Kama ni hivyo hapa haki haitendeki, ninakotaka kukata rufaa kumbe ndio kanunua bia ya lawyer?????? sasa niende wapi???? BASI NAOMBA NAMIMI NIKUNUNULIE PEPSI HALAFU MAMBO YAISHE......Please
 
NIA YA THREAD.
1.UNAWEZAFANYA KITU UKAJIONA NI SIRI SANA LAKINI MUNGU AKAKIWEKA WAZI.
2.NI VEMA KUWA WAAMINIFU.
3.MKIKOSEA WOTE KWENYE NDOA USIMSUKUMIZIE MWENZIO KWA VILE WEWE NI MJANJA.
4.VITU,HALI,NA MAMBO YA INTERNET YANAWEZA KUWA TOFAUTI KABISA NA HALI HALISI.

nawasilisha mkuu.

Namkumbuka Abunuwas!
 
kuna watu wana hoja za kitoto na ubishi wa ukoo/wa kurithi, yaani mtu kukubali kuchemsha si ni kawaida tu, ni nani asiyeshemsha katika hii dunia

Tall Heshima yako ni kubwa hebu mwombe Mode aifunge hii thread, na utuletee vitu vya ukweli
angalau UMESEMA, ILA SINAUBISHI WA KITOTO WALA WA KURITHI. HATA MIMI NIMECHOKA NAYO...............MODS EEEEEH PLEASE CLOSE THIS MAANA SIJAFANYA KAZI TOKA SAA 4 ASUBUHI?????? PLEASE MODS CLOSE THIS
 
Mpwa hebu tafsiri kwa kiswahili hapo......
ngoja nimsaidie "sauti kama boski lililojaa vyura"

mmmh vitu vingine havina kiswaili chake halafu mie mwl wangu wa kidhungu alikufa wakati niko la 3B baada ya hapo ikawa ni full square root
 
namtangaza tall kama shujaa mkuu wa wiki hii maana ameweza kututea hoja mpaka imekubalika

tall hakuna mtu anayekuchukia wala usikonde topic yako imependwa sana ndio maana watu wanachangia halafu imekupa umaarufu mkubwa

nakutangaza kama swahiba wangu mkuu humu jf kula gwala (5)
 
Laaziz..........!!! Isije kuwa una simu mbili mpenzi wangu, halafu una gauni la bluu ambalo mimi silifahamu!!!

mie nayawezea wapi hayo mambo laaziz wangu, mie na wewe uaminifu ndio umetufikisha hapa tulipo! nilikumic laazizi wangu.
 
namtangaza tall kama shujaa mkuu wa wiki hii maana ameweza kututea hoja mpaka imekubalika

tall hakuna mtu anayekuchukia wala usikonde topic yako imependwa sana ndio maana watu wanachangia halafu imekupa umaarufu mkubwa

nakutangaza kama swahiba wangu mkuu humu jf kula gwala (5)
ubarikiwe
 
hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kosa si facebook ila ni ushamba wa mshikaji tu lakini huyu mkewe wa ndoa au wa ndoo maana kama ni mke wake wa ndoa wasingalifichana mambo ya adress za facebook huyo si benka wa ukweli afu mi9 nashindwa amua ila wote wanamakosa ivo basi wasameheane lakini pia mshikaji akumbuke kuwa wanaume kubembeleza WAMEUMBIWA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
VALEX:teeth:

Kama ni mkewe wa ndoa na siku ya ahadi walitoka wote nyumbani asubuhi, jamaa alishindwa kujiuliza kwanini mke wangu amevaa nguo ya bluu leo wakati na ahadi na mtoto na atavaa nguo ya bluu,you should be very creative unapotaka kucheat
 
Jamaa yangu ndio kwanza ameoa, yeye na mkewe wote wanafanya kazi benki, sio ofisi moja.

Katika pitapita zake kwenye internet, kakutana na blog ya facebook, kasachiiiiiiiii, hadi kikaeleweka kampata binti mmoja aliyemvutia kimeseji na kusikia ni wale watokao moja ya makabila ya Arusha, akazidi kuchanganyikiwa, maana kabila hilo wasichana wake huwa wanamuacha hoi daima, hata mkewe anatoka kabila hilohilo.

Sijui ni shetani, sijui ni kutoridhika na mkewe, sijui ni tamaa, au labda sijui ni ukware tu... ila kilichofuata ni kuwa akawa na mapenzi mazito na huyo dada. Yeye jamaa yangu hakutaja jina lake halisi.

Jana jioni waliamua wakutane saa 12 jioni kwenye bar fulani maeneo ya kinondoni. Kwa vile kila mtu ana simu ya mwenzake hivyo walikubaliana, wakifika sehemu hiyo watapigiana. Huyu jamaa ananiambia kuwa walielezana pia kuwa kila mtu atavaaje, huyo dada alisema angevaa gauni la blue na jamaa akasema atavaa shati jeupe mikono mirefu... nilishasema huyu jamaa ni benka hivyo hapo ni kuvua tai tu na kuingia bar.

Jamaa saa 12 kasorobo akatia timu bila kuchelewa, kabla hajafika eneo la tukio akapiga simu na akaelekezwa na bibie eneo alipokaa kwani yeye bibie keshafika saa nyingi anamngoja. Jamaa akaingia bar kwa mikogo yote huku akipepesa macho na udenda ukimtoka, kwa vyovyote ville mkono wa kulia ukiwa mfukoni mwa suruali.

Kulia alimwona mrembo mmoja amekaa kavalia gauni la bluu, looooh alipoangalia vizuri kumbe ni MKEWE WA NDOA NDIE WANATAZAMANA NAE USO KWA USO.

Anasikitika sana kwa yaliyomkuta, anasema sasa ndoa yake inalegalega, ANAMPENDA SANA MKEWE. ANAJUTIA FACEBOOK.

UNASEMAJE MWANA JF? AFANYEJE KUWEKA MAMBO SAWA?


Mkuu mod ipeleke kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa.
 
Kama ni mkewe wa ndoa na siku ya ahadi walitoka wote nyumbani asubuhi, jamaa alishindwa kujiuliza kwanini mke wangu amevaa nguo ya bluu leo wakati na ahadi na mtoto na atavaa nguo ya bluu,you should be very creative unapotaka kucheat
sio lazima muongozane na mkeo wakati mnaenda kazini,kama mke alichelewa kutoka home je??????
 
Mh kwa niwajuavyo baadhi ya kina baba yaani hapa kibao kinageuzwa kwa mama. Kwa nini amekubali kidate lol
 
Hiyo mbona inawezekana sana, hata mimi zamani nilikuwa na namba kibao za simu za kudanganyia mademu ambao sina mpango nao, naiweka tu ninapotaka kuongea naye, nikimaliza naitoa line. Akipiga akinikosa namwambia chochote km chaji iliisha nk. Najibu sms zake zote, maana hata kama simu imezimwa sms zinaingia unapoiwasha. Nataka mjue pia watu wengi wanaotafuta mademu mtandaoni hawatumii zile namba zao zinazojulikana, wanakuwa na ambazo wamezitenga kwa shughuli hiyo. Inawezekana pia mademu nao wanafanya hivyo. Kwa mtazamo huo, hii stori inawezekana ni kweli kabisa, yaani walikutana wale ambao kikwetu tunaita 'babenge babiri..' Yaani ngoma droo, waelewane tu yaishe.
 
Jamaa yangu ndio kwanza ameoa, yeye na mkewe wote wanafanya kazi benki, sio ofisi moja.

Katika pitapita zake kwenye internet, kakutana na blog ya facebook, kasachiiiiiiiii, hadi kikaeleweka kampata binti mmoja aliyemvutia kimeseji na kusikia ni wale watokao moja ya makabila ya Arusha, akazidi kuchanganyikiwa, maana kabila hilo wasichana wake huwa wanamuacha hoi daima, hata mkewe anatoka kabila hilohilo.

Sijui ni shetani, sijui ni kutoridhika na mkewe, sijui ni tamaa, au labda sijui ni ukware tu... ila kilichofuata ni kuwa akawa na mapenzi mazito na huyo dada. Yeye jamaa yangu hakutaja jina lake halisi.

Jana jioni waliamua wakutane saa 12 jioni kwenye bar fulani maeneo ya kinondoni. Kwa vile kila mtu ana simu ya mwenzake hivyo walikubaliana, wakifika sehemu hiyo watapigiana. Huyu jamaa ananiambia kuwa walielezana pia kuwa kila mtu atavaaje, huyo dada alisema angevaa gauni la blue na jamaa akasema atavaa shati jeupe mikono mirefu... nilishasema huyu jamaa ni benka hivyo hapo ni kuvua tai tu na kuingia bar.

Jamaa saa 12 kasorobo akatia timu bila kuchelewa, kabla hajafika eneo la tukio akapiga simu na akaelekezwa na bibie eneo alipokaa kwani yeye bibie keshafika saa nyingi anamngoja. Jamaa akaingia bar kwa mikogo yote huku akipepesa macho na udenda ukimtoka, kwa vyovyote ville mkono wa kulia ukiwa mfukoni mwa suruali.

Kulia alimwona mrembo mmoja amekaa kavalia gauni la bluu, looooh alipoangalia vizuri kumbe ni MKEWE WA NDOA NDIE WANATAZAMANA NAE USO KWA USO.

Anasikitika sana kwa yaliyomkuta, anasema sasa ndoa yake inalegalega, ANAMPENDA SANA MKEWE. ANAJUTIA FACEBOOK.

UNASEMAJE MWANA JF? AFANYEJE KUWEKA MAMBO SAWA?

lolo yamemkuta mwenzetu, ila anaweza kuikwepa hiyo kesi na kujifanya alienda pale kunywa soda tu, sasa mama nae anatakiwa kueleza pale alifata nini
 
Jamaa ametunga kudanganya watu wachangie, total nonsense
 
Back
Top Bottom