pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Kwahivyo walianza kwa kujifanya kwamba ni walemavu, alafu zaidi ya hiyo wakajifanya kwamba wao ni watanzania, ndani ya nchi yao?Hao ni wakenya wanao jifanya watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahivyo walianza kwa kujifanya kwamba ni walemavu, alafu zaidi ya hiyo wakajifanya kwamba wao ni watanzania, ndani ya nchi yao?Hao ni wakenya wanao jifanya watanzania
Hao Wakenya wana taka kuja Tz kuja kula wanajifanya WatzKwahivyo walianza kwa kujifanya kwamba ni walemavu, alafu zaidi ya hiyo wakajifanya kwamba wao ni watanzania, ndani ya nchi yao?Intresting! Tell me more.![]()
Hao wanabebwa na kuwa exploited na wakenya wenzenu
Hiyo kitu imeanza kufanywa na wenyeji mkuu, miaka mingi past, kitambo, hao wabongo wameiga tu, na ndio scapegoat, who else would suit.Watanzania wawili wahukumiwa miaka 42 jela huko Kenya
Watanzania wawili wamehukumiwa miaka 42 jela kw kutumia watoto wenye ulemavu kufanya ombaomba mtaani na kisha kuzitumia fedha hizo Akitoa hukumu hiyo, Hakimu mkazi Nancy Barasa alisema watanzania hao pia walikuwa wakiishi Kenya kinyume na sheria Walihukumiwa miaka 40 kwa kutumia watoto wenye...www.jamiiforums.com
Sasa omba omba hapo ni nani?Jameni maajirani mumekua kero kwa kweli, hivi mlilaaniwa au nini, huu uzembe mtauacha lini, maisha ya kuomba omba mbona sio dili. Njooni mchape kazi, mtusaidie kuzalisha kiuchumi, huu upumbavu acheni, nchi yote hadi Kenya mikoani wamejaa omba omba kutoka Tanzania, bure sana.
Kuna mataifa yametuzunguka ambao kwao wamepigana kwa zaidi ya miaka ishirini, lakini hutaona wakijaza raia wao kwenye barabara zetu wakiomba omba, wapo wanapiga kazi pamoja na sisi, tunachangia kuboresha nchi na kuishi pamoja.
Hii laana ya omba omba wa Tanzania hususan wa kutokea mji mkuu wa Tanzania kule Dodoma na pia Tanzania kati, maana Kaskazini wapo huku wanapiga mishe freshi tu, Wachagga kila siku tunapishana nao wanajituma kishenzi, wakiweza waanze kuwakemea ndugu zao hawa wazembe wa kutokea Tanzania kati wanaokuja kuwaharibia jina.
Leta ushahidi wa haya madai yako. Kama ni wakenya, mbona wasiwatumie waganda, ama wakimbizi kutoka S.S na Somalia au hata wakenya wenzao? Huo mchezo ni Made in Tz.Hiyo kitu imeanza kufanywa na wenyeji mkuu, miaka mingi past, kitambo, hao wabongo wameiga tu, na ndio scapegoat, who else would suit.