Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kwa hakika huyu bwana mdogo Rayvanny ni sheeeeda maana si kwa mikwaju hii walahi daaah.
Huu wimbo alio shirikiana na DJ Maphorisa ni nyooooka
Yaani huu wimbo hauchoshi kuusikiliza wala kuucheza.
Nautabiria utadumu sana miaka na miaka kwenye charts
Daah nina furaha isiyo na kifani
Kwanza video kali ,imepangiliwa kwa ustadi wa hali ya juu pia na mazingira waliyo chukulia video ni mazuri saana.
Big up sana V vanny boy
[HASHTAG]#Mafulusa[/HASHTAG] ndiyo habari ya mjini#
JamiiForums upload hiyo video
Huu wimbo alio shirikiana na DJ Maphorisa ni nyooooka
Yaani huu wimbo hauchoshi kuusikiliza wala kuucheza.
Nautabiria utadumu sana miaka na miaka kwenye charts
Daah nina furaha isiyo na kifani
Kwanza video kali ,imepangiliwa kwa ustadi wa hali ya juu pia na mazingira waliyo chukulia video ni mazuri saana.
Big up sana V vanny boy
[HASHTAG]#Mafulusa[/HASHTAG] ndiyo habari ya mjini#
JamiiForums upload hiyo video