DOKEZO Makumbusho: Polisi wadaiwa kuvamia Ofisi za "Reachout Tanzania", wakidai kumtafuta Wakili Lusako Alphonce, ambaye hakuwa ofisini

DOKEZO Makumbusho: Polisi wadaiwa kuvamia Ofisi za "Reachout Tanzania", wakidai kumtafuta Wakili Lusako Alphonce, ambaye hakuwa ofisini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Polisi wenye silaha wadaiwa kuvamia ofisi za Taasisi ya Reachout Tanzania zilizopo maeneo ya Makumbusho jijini Dar es Salaam, wakidai kumtafuta Mwanasheria wao Lusako Alphonce, ambaye hakuwa ofisini. Polisi hao, wakiwa na sare na wengine hawana sare, walitishia kuvunja milango licha ya kuambiwa kuwa Lusako hayupo. CCTV camera za taasisi hiyo zimenasa tukio hilo.
Snapinsta.app_469157428_18474285220017157_8428067946556991882_n_1080.jpg

Screenshot 2024-12-05 115938.png

Hii ni sauti inayosambaa mitandaoni inayodaiwa kuwa ni ya Lusako Alphonce, akiota taarifa za kuhofia kutekwa






Pia soma ~ Polisi wafafanua tukio la Wakili Lusako Alphonce kukikimbizwa na Polisi katika Ofisi za "Reachout Tanzania"
 
sometimes nawaza hao wajinga wenye mishahara ya sabuni,kwanini wana kuwaga mazuzu Sana.
Hahaha. Umenikumbusha kisa cha coplo Abdul yule wa oysterbay aliyewahi kufyatua risasi 3 mbele ya ADAM MALIMA.alijinasibu kwamba amevaa mkanda wenye rangi za bendera ya taifa. Sirro akasema ni sahihi kwa afande kufanya vile.
Malima akafikishwa mahakamani wakati kesi inaendelea malima akateuliwa na JPM kuwa RC mara.
Yule afande akiwa bado anakula vumbi kwenye lindo na doria
 
Back
Top Bottom