Polisi wenye silaha wadaiwa kuvamia ofisi za Taasisi ya Reachout Tanzania zilizopo maeneo ya Makumbusho jijini Dar es Salaam, wakidai kumtafuta Mwanasheria wao Lusako Alphonce, ambaye hakuwa ofisini. Polisi hao, wakiwa na sare na wengine hawana sare, walitishia kuvunja milango licha ya kuambiwa kuwa Lusako hayupo. CCTV camera za taasisi hiyo zimenasa tukio hilo.
Hii ni sauti inayosambaa mitandaoni inayodaiwa kuwa ni ya Lusako Alphonce, akiota taarifa za kuhofia kutekwa
Hahaha. Umenikumbusha kisa cha coplo Abdul yule wa oysterbay aliyewahi kufyatua risasi 3 mbele ya ADAM MALIMA.alijinasibu kwamba amevaa mkanda wenye rangi za bendera ya taifa. Sirro akasema ni sahihi kwa afande kufanya vile.
Malima akafikishwa mahakamani wakati kesi inaendelea malima akateuliwa na JPM kuwa RC mara.
Yule afande akiwa bado anakula vumbi kwenye lindo na doria