Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 21,470 Reaction score 40,593 Dec 5, 2024 #161 Lookmalasin said: Mkuu umefanya nini hata hapa jamii forums kuonyesha hauko kikabila? Unapigania utaifa, Watanzania wote? Click to expand... Utaifa haupiganiwi JF. Haki na Usawa ndiyo msingi wa utaifa.
Lookmalasin said: Mkuu umefanya nini hata hapa jamii forums kuonyesha hauko kikabila? Unapigania utaifa, Watanzania wote? Click to expand... Utaifa haupiganiwi JF. Haki na Usawa ndiyo msingi wa utaifa.
uttoh2002 JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17,060 Reaction score 32,400 Dec 5, 2024 #162 Sasa wakili kama huyu si wa kumchukua tu kistaarabu kama hamna nia ovu?
Lookmalasin JF-Expert Member Joined Jan 7, 2017 Posts 1,723 Reaction score 2,358 Dec 6, 2024 #163 Allen Kilewella said: Utaifa haupiganiwi JF. Haki na Usawa ndiyo msingi wa utaifa. Click to expand... Unapigania wapi taifa lako? Sera zako ni zipi kuwasaidia maskini au ni debe tupu.
Allen Kilewella said: Utaifa haupiganiwi JF. Haki na Usawa ndiyo msingi wa utaifa. Click to expand... Unapigania wapi taifa lako? Sera zako ni zipi kuwasaidia maskini au ni debe tupu.
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 21,470 Reaction score 40,593 Dec 6, 2024 #164 Lookmalasin said: Unapigania wapi taifa lako? Sera zako ni zipi kuwasaidia maskini au ni debe tupu. Click to expand... Kila jambo huamuliwa Kwa wakati na mahali.
Lookmalasin said: Unapigania wapi taifa lako? Sera zako ni zipi kuwasaidia maskini au ni debe tupu. Click to expand... Kila jambo huamuliwa Kwa wakati na mahali.