DOKEZO Makumbusho: Polisi wadaiwa kuvamia Ofisi za "Reachout Tanzania", wakidai kumtafuta Wakili Lusako Alphonce, ambaye hakuwa ofisini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa wakili kama huyu si wa kumchukua tu kistaarabu kama hamna nia ovu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…