Makundi AFCON 2025, Tanzania yapangwa Kundi C dhidi ya Nigeria, Tunisia na Uganda

Makundi AFCON 2025, Tanzania yapangwa Kundi C dhidi ya Nigeria, Tunisia na Uganda

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kwasasa nchini Morocco kuna hafla ya upangaji wa makundi kwaajili ya michuano ya AFCON 2025.

Ungana nami kujua Tanzania tutapangwa na nani?

Tukio lipo mubashara Azamtv na DStv

=================================
IMG_5168.jpeg
IMG_5167.jpeg
IMG_5166.jpeg
IMG_5165.jpeg
IMG_5164.jpeg
IMG_5163.jpeg
 

Attachments

  • Snapinst.app_475266610_1198706665588538_7547226411361497258_n_1080.jpg
    Snapinst.app_475266610_1198706665588538_7547226411361497258_n_1080.jpg
    230.9 KB · Views: 3
Dr Motsepe jamaa mpira wa afrika utamkumbuka ameleta tija sana kwa mpira wa afrika yeye na Karia hapa kwetu tutawakumbuka
Hakuna anaeweza thubutu kuuludisha nyuma mpira mkuu tunaenda kwenye enlightement period atakae kuja atafanya vizuri zaid mpka 2050 na tutakuwa kama ulaya sasa imagine ulaya itakuwaje
 
Joseph Yobo, beki kisiki wa zamani wa Nigeria naye ni miongoni mwa jopo la kuchezesha droo
 
Hakuna anaeweza thubutu kuuludisha nyuma mpira mkuu tunaenda kwenye enlightement period atakae kuja atafanya vizuri zaid mpka 2050 na tutakuwa kama ulaya sasa imagine ulaya itakuwaje
Ulaya hao watu wako kwenye level Yao wenyewe si tupambane na level yetu hope kizazi Cha kina drogba nacho kikipewa kijiti kitajitahidi japo tayari etoo pale cameroun ameanza kuboronga
 
Back
Top Bottom