cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hili kundi wanaopita wana eleweka kabisaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili kundi wanaopita wana eleweka kabisaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Kweli hakufukuzaye hakuambii toka, wangesema tu hawatuitaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule captain wao chotara flan hivi huku mna mkamiaji Bacca eti Koplo [emoji23][emoji23] Tanzania kuna vituko
Tanzania kuanza mechi ya kwanza na Nigeria, halafu inakuja kucheza na Uganda na kumalizia na Tunisia.Finally safari hii Tanzania tunaenda kufuzu round ya pili.
Uganda tunampiga. Nigeria hawatishi tunaweza pata sare. Tunisia tuna sare au akikaa vibaya naye anapokea kichapo ili safari yetu iwe na uhakika zaidi. Hapo hatujaenda round ya mtoano?
Muhimu ratiba ipangwe vizuri kutufeva. Tuanze na Tunisia, halafu aje Nigeria tumalizie na wajukuu wa Museveni.