Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hakuna anaeweza thubutu kuuludisha nyuma mpira mkuu tunaenda kwenye enlightement period atakae kuja atafanya vizuri zaid mpka 2050 na tutakuwa kama ulaya sasa imagine ulaya itakuwajeDr Motsepe jamaa mpira wa afrika utamkumbuka ameleta tija sana kwa mpira wa afrika yeye na Karia hapa kwetu tutawakumbuka
YaaahKwa mara ya kwanza nimeiangalia profile picture yako.. kumbe huyo jamaa ni Messi
Hupumziki ?Serge Aurier legend wa Ivory Coast nae ni miongoni mwa watakaochezesha droo
Djimon Hounsou, staa wa filamu ya Blood DiamondHuyu mc wa kiume anaitwa nani?
Ulaya hao watu wako kwenye level Yao wenyewe si tupambane na level yetu hope kizazi Cha kina drogba nacho kikipewa kijiti kitajitahidi japo tayari etoo pale cameroun ameanza kuborongaHakuna anaeweza thubutu kuuludisha nyuma mpira mkuu tunaenda kwenye enlightement period atakae kuja atafanya vizuri zaid mpka 2050 na tutakuwa kama ulaya sasa imagine ulaya itakuwaje