Makundi AFCON 2025, Tanzania yapangwa Kundi C dhidi ya Nigeria, Tunisia na Uganda

Tanzania kuanza mechi ya kwanza na Nigeria, halafu inakuja kucheza na Uganda na kumalizia na Tunisia.

Bado natafakari kama hiyo ratiba ni rafiki kwenye harakati zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…