Makundi bora ya muziki kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava

Makundi bora ya muziki kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hii ni orodha tukufu ya makundi yaliyoweka alama kwenye muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania. Nyimbo zao zikipigwa hadi leo zinasisimua.

1. Hard Blasters Crew (HBC)
Kundi liliundwa na Profesa Jay, Fanani na Big Willy. Albamu yao ya Funga Kazi itakumbukwa daima. Wimbo wao wa chemsha bongo ulitoka nikiwa darasa la 7.

2. GANGWE MOB
Inspekta Harun na Luteni Kalama waliunda hili kundi. Tukiwa vijana wadogo tulifurahia nyimbo zao.

3. GWM
Sikumbuki vizuri members wa hili kundi ila ninakumbuka lilitamba hata kabla ya kina Prof Jay. Mtaongezea nyama nyama hapa.

4. DAZ NUNDAZ
Hawa sio wa zamani sana ila nao waliwika. Ferooz, Daz Baba, Sajo na wengine ambao sikumbuki majina yao. Kamanda, Nipe 5, Hayaishi kunighasi na nyimbo nyingine kali zilipaisha kundi.

5. UNIQUE SISTERS
Liliundwa na mabinti wa Kipozi.

6. NAKO 2 NAKO
Bu Nako, Ibra da Hustla, G Nako na Lord Eyez. Naweza sema lilikuwa kundi bora zaidi kwa wakati wao. Wana nyimbo nyingi kali za Hiphop.

7. PARKLANE
C pwaa (R.I.P) na Suma lee walikiwasha mno.

8. WAGOSI WA KAYA
Mkoloni na mwenzake waliimba vitu vilivyokuwa vya muhimu sana kwa nchi.
 
Hii ni orodha tukufu ya makundi yaliyoweka alama kwenye muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania. Nyimbo zao zikipigwa hadi leo zinasisimua...
Kwenye list mwendelezo
University corner walitisha ndani ya tshirt na jeans, solid ground family walimsimanga sana baba jeni hawa jamaa huku wakiwa na bush party lao, kulikuwa na swahili by nature, then kuna colabo za danny msimamo na wagosi au wagosi na ras lion (ndukulukusujo) zilitisha sana.

Then kulikuwa na crew kama vile hot pot family ya kina solo thang, soggy, suma G mchicha just to mention a few.
 
Hii ni orodha tukufu ya makundi yaliyoweka alama kwenye muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania. Nyimbo zao zikipigwa hadi leo zinasisimua.

1. Hard Blasters Crew (HBC)
Kundi liliundwa na Profesa Jay, Fanani na Big Willy. Albamu yao ya Funga Kazi itakumbukwa daima. Wimbo wao wa chemsha bongo ulitoka nikiwa darasa la 7.

2. GANGWE MOB
Inspekta Harun na Luteni Kalama waliunda hili kundi. Tukiwa vijana wadogo tulifurahia nyimbo zao.

3. GWM
Sikumbuki vizuri members wa hili kundi ila ninakumbuka lilitamba hata kabla ya kina Prof Jay. Mtaongezea nyama nyama hapa.

4. DAZ NUNDAZ
Hawa sio wa zamani sana ila nao waliwika. Ferooz, Daz Baba, Sajo na wengine ambao sikumbuki majina yao. Kamanda, Nipe 5, Hayaishi kunighasi na nyimbo nyingine kali zilipaisha kundi.

5. UNIQUE SISTERS
Liliundwa na mabinti wa Kipozi.

6. NAKO 2 NAKO
Bu Nako, Ibra da Hustla, G Nako na Lord Eyez. Naweza sema lilikuwa kundi bora zaidi kwa wakati wao. Wana nyimbo nyingi kali za Hiphop.

7. PARKLANE
C pwaa (R.I.P) na Suma lee walikiwasha mno.

8. WAGOSI WA KAYA
Mkoloni na mwenzake waliimba vitu vilivyokuwa vya muhimu sana kwa nchi.
NAKO 2 NAKO ...Litabaki kua kundi Bora zaidi kuwahi kutokea hapa bongo... Hasa ukizingatia Yale mapini Yao
Ndo zetu kuwakilisha
Tunabang
Mchizi wangu
Machafuko
Show love
Hawatuwezi
Hakuna mahali

Hapo kwenye HBC Ngoma ya Chemsha bongo aliimba professor Jay pekeyake dah kitambo Sana... Maisha nilichezea Leo hii nalala njaa

Makundi mengine ni..
Tkm wanaume Family
Wakilisha (r.i.p Langa [emoji26])
Wakali kwanza
 
Hii ni orodha tukufu ya makundi yaliyoweka alama kwenye muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania. Nyimbo zao zikipigwa hadi leo zinasisimua.

1. Hard Blasters Crew (HBC)
Kundi liliundwa na Profesa Jay, Fanani na Big Willy. Albamu yao ya Funga Kazi itakumbukwa daima. Wimbo wao wa chemsha bongo ulitoka nikiwa darasa la 7.

2. GANGWE MOB
Inspekta Harun na Luteni Kalama waliunda hili kundi. Tukiwa vijana wadogo tulifurahia nyimbo zao.

3. GWM
Sikumbuki vizuri members wa hili kundi ila ninakumbuka lilitamba hata kabla ya kina Prof Jay. Mtaongezea nyama nyama hapa.

4. DAZ NUNDAZ
Hawa sio wa zamani sana ila nao waliwika. Ferooz, Daz Baba, Sajo na wengine ambao sikumbuki majina yao. Kamanda, Nipe 5, Hayaishi kunighasi na nyimbo nyingine kali zilipaisha kundi.

5. UNIQUE SISTERS
Liliundwa na mabinti wa Kipozi.

6. NAKO 2 NAKO
Bu Nako, Ibra da Hustla, G Nako na Lord Eyez. Naweza sema lilikuwa kundi bora zaidi kwa wakati wao. Wana nyimbo nyingi kali za Hiphop.

7. PARKLANE
C pwaa (R.I.P) na Suma lee walikiwasha mno.

8. WAGOSI WA KAYA
Mkoloni na mwenzake waliimba vitu vilivyokuwa vya muhimu sana kwa nchi.
Gangstas With Matatizo ( GWM mazimwi)KR Mura na Doro,Solid Ground Family,Zigzag crew,Manzese Crew,Bandago,Kwanza Unit hatari sana
 
Kwenye list mwendelezo
University corner walitisha ndani ya tshirt na jeans, solid ground family walimsimanga sana baba jeni hawa jamaa huku wakiwa na bush party lao, kulikuwa na swahili by nature, then kuna colabo za danny msimamo na wagosi au wagosi na ras lion (ndukulukusujo) zilitisha sana.

Then kulikuwa na crew kama vile hot pot family ya kina solo thang, soggy, suma G mchicha just to mention a few.
Solo hajawahi kuwa hotpot family,umechanganya madesa hapo!
 
NAKO 2 NAKO ...Litabaki kua kundi Bora zaidi kuwahi kutokea hapa bongo... Hasa ukizingatia Yale mapini Yao
Ndo zetu kuwakilisha
Tunabang
Mchizi wangu
Machafuko
Show love
Hawatuwezi
Hakuna mahali

Hapo kwenye HBC Ngoma ya Chemsha bongo aliimba professor Jay pekeyake dah kitambo Sana... Maisha nilichezea Leo hii nalala njaa

Makundi mengine ni..
Tkm wanaume Family
Wakilisha (r.i.p Langa [emoji26])
Wakali kwanza
Sema nako 2 nako waliponzwa na uselamavi. Jay alikuwa ana kipaji kikubwa mno kuliko wenzake hivyo isingewezekana kuendelea na HBC ni kama Justin Timberlake na kundi la Nsync. Wakali kwanza nao walijitahidi.
 
Back
Top Bottom