Makundi mawili yatakayoambulia aibu 2025

Makundi mawili yatakayoambulia aibu 2025

Huu ni ugoro mtupu. Hakuna kundi wala gurupu. CCM ni moja tuu na Tutaendelea kupasua anga kupeleka Taifa mbele. Hakuna wa kumtikisa Rais up to 2030 Samia Suluhu Hasssan. Huyo hajazaliwa nchi hiii
 
Mi sioni kundi C likitoboa kabisa maana kundi B kuna mission kubwa imekamilishwa juzi kwenye kigenge cha kawaha (Halmashauri kuu).

Kundi A hawana pesa wala ushawishi wa kusumbua kundi B.. as longer as kundi B linanufaika na kiranja wa darasa basi litambeba kwa kutumia umafia , pesa, skauti ikibidi hata wazee wa bodi ya shule kikubwa kumlinda kiranja ili ulaji usipotee. Lakini kundi B kamwe haliwapendi kundi C maana kama wakishika uongozi wa shule hilo kundi B ndio watapata shida mara kumi kuliko kundi A wakiwa viranja.

Na log out.
Good insight
 
Hapo mbaya kuliko wote ni kundi C.
Hayo makundi 2 ya kwanza kiuhalisia ni kundi moja lililohitilafiana kimtazamo lakini mzizi wa uwepo wao ni mmoja hivyo ni rahisi kukaa chini wakafunika kombe mwanaharamu apite.

Tatizo la kundi C halijui litakacho. Japo linajipambanua kama linasimamia haki, kiukweli kabisa linasimamia matumbo yao tu.
Kwa kiasi sahihi wanaweza kuuza hata utu wao. Na vile washajua fika kuwa hawatogusa madaraka basi wako radhi walaghai walimwengu ili yao yaende.

Mkombozi wa nchi hii sio kizazi hichi cha sasa. Bado tuna safari ndefu mno.
 
Kumekuchaa! Heri ya Mwaka Mpya 2023.

Siku zinazidi kusonga mbele huku joto la kisiasa likizidi kupaa.

Za chini chini zinasema hivi kuna makundi matatu yanayoenda kutifuana huko mbele 2025.

A. Kundi A Hili ni lile la waliokuwa madadakani na sasa hawamo tena. Hili ni kundi la wafuasi wa Hayati Jpm. Ni kundi linaloamini siasa za jino kwa jino, weka ugoko niweke jiwe. Hawa ni wakorofi na wagomvi. Kwao hawajali wenzai wanaumia kiasi gani, ni akina kanyaga twende. Huku akiamini wanawatumikia wananchi wanyonge bila kujali athari za njia zao.

Kundi A, wanasema Abadani Kundi B lisipate nafasi kabisa, kwa wanaona ni bora kundi C lipate madaraka kuliko kundi B.

B, kundi B hili ni lile la wachache waliokuwepo madarakani baadae wakaondoka na sasa wako madarakani. Hili kundi linaamini katika hadaa. Wao ni mabingwa wa uongo. Watawadanganya watanzania kuwa wanawatumikia ili hali wanawaibia. Pesa nyingi wataazima kutoka nje ya nchi lakini kinachofanyika hakitaonekana. Kundi B hili halipendwi kabisa na Kundi A.

C. Hili kundi C ni wale waliokuwa hawajawahi kushika madaraka na wala huenda wasiyashike. Uzuri wa kundi C kwa sasa wanapendwa na kundi A na B.

Kundi A linasema ni bora kundi C kuliko hao mchwa wa kundi B. Wakati huo huo kundi B linasema bora tupate kuungwa mkono na Kundi C japo tugawane kidogo kilichopo lakini sio kuwaachia hawa watu wa weka ugoko niweke chuma.

Wakati kundi C lenyewe halijali nani anakuwa madarakani as long as anajali maendeleo, heshima kwa watanznia wote, aheshimu sheria, aweke mifumo ya kistaarabu including bunge huru, tume huru, mahakama huru wao hawajali sana kushika nyazifa kubwa.

Sasa nani anaenda kuambulia aibu.??

Kundi A linasema ngoja agombee 2025 ili aangukie pua maana hata pata kuungwa mkono.

Kundi B linasema abadani hatuwezi kurudishwa misri bora tuweke uwanja huru kila mtu achezi mziki wake.

Huu unaitwa vita vya panzi furaha kwa Kunguru na mwewe.

Nawatakia Haki, Amani na Maendeleo kwa mwaka mpya 2023.
Mwaka 2023 serikali itayumba vubaya sana kutokana na maandamo yanayobeba hisia za wananchi wa kawaida na hayazuiliki kote nchini. Watawala watakosa muda wa kusimamia maendeleo na kujielekeza kujihami na madai ya haki za wananchi wapewe bila shuruti. Mafuriko kila kona; majanga ya kuondokewa na viongozi washauri utakubuhu.
 
Shukrani kwa ufafanuzi. Ndiyo, kuna chawa wengi kama vile akina Kinana, makamba, rostam, na wezi wengine wanaojulikana.
Hivi kuna awamu iliyokuwa na wezi wengi kama awamu ya tano (5)
Tena wezi katili.
Utaratibu wetu ccm ni kupitisha tu, aliyepo mpaka atakapo malizia kipindi chake.
 
Kumekuchaa! Heri ya Mwaka Mpya 2023.

Siku zinazidi kusonga mbele huku joto la kisiasa likizidi kupaa.

Za chini chini zinasema hivi kuna makundi matatu yanayoenda kutifuana huko mbele 2025.

A. Kundi A Hili ni lile la waliokuwa madadakani na sasa hawamo tena. Hili ni kundi la wafuasi wa Hayati Jpm. Ni kundi linaloamini siasa za jino kwa jino, weka ugoko niweke jiwe. Hawa ni wakorofi na wagomvi. Kwao hawajali wenzai wanaumia kiasi gani, ni akina kanyaga twende. Huku akiamini wanawatumikia wananchi wanyonge bila kujali athari za njia zao.

Kundi A, wanasema Abadani Kundi B lisipate nafasi kabisa, kwa wanaona ni bora kundi C lipate madaraka kuliko kundi B.

B, kundi B hili ni lile la wachache waliokuwepo madarakani baadae wakaondoka na sasa wako madarakani. Hili kundi linaamini katika hadaa. Wao ni mabingwa wa uongo. Watawadanganya watanzania kuwa wanawatumikia ili hali wanawaibia. Pesa nyingi wataazima kutoka nje ya nchi lakini kinachofanyika hakitaonekana. Kundi B hili halipendwi kabisa na Kundi A.

C. Hili kundi C ni wale waliokuwa hawajawahi kushika madaraka na wala huenda wasiyashike. Uzuri wa kundi C kwa sasa wanapendwa na kundi A na B.

Kundi A linasema ni bora kundi C kuliko hao mchwa wa kundi B. Wakati huo huo kundi B linasema bora tupate kuungwa mkono na Kundi C japo tugawane kidogo kilichopo lakini sio kuwaachia hawa watu wa weka ugoko niweke chuma.

Wakati kundi C lenyewe halijali nani anakuwa madarakani as long as anajali maendeleo, heshima kwa watanznia wote, aheshimu sheria, aweke mifumo ya kistaarabu including bunge huru, tume huru, mahakama huru wao hawajali sana kushika nyazifa kubwa.

Sasa nani anaenda kuambulia aibu.??

Kundi A linasema ngoja agombee 2025 ili aangukie pua maana hata pata kuungwa mkono.

Kundi B linasema abadani hatuwezi kurudishwa misri bora tuweke uwanja huru kila mtu achezi mziki wake.

Huu unaitwa vita vya panzi furaha kwa Kunguru na mwewe.

Nawatakia Haki, Amani na Maendeleo kwa mwaka mpya 2023.
Eti na wewe unajitai unaakili wakati umetoka tu hisia zako kuonesha unamchumia yupi na unampenda yupi hakuna uchambuzi swala kama hili linaitaji utafiti sio hisia nenda kwa wapiga kura wanazungumzia utawala upi ni mzuri kwao baada ya hapo uje utoe uchambuzi wako umekurupuka tu umeanza A,B na C hata ueleweki zaidi ya hisia zako tu
 
Huu ni ugoro mtupu. Hakuna kundi wala gurupu. CCM ni moja tuu na Tutaendelea kupasua anga kupeleka Taifa mbele. Hakuna wa kumtikisa Rais up to 2030 Samia Suluhu Hasssan. Huyo hajazaliwa nchi hiii
Typical chawa without reasoning🤣🤣
 
Eti na wewe unajitai unaakili wakati umetoka tu hisia zako kuonesha unamchumia yupi na unampenda yupi hakuna uchambuzi swala kama hili linaitaji utafiti sio hisia nenda kwa wapiga kura wanazungumzia utawala upi ni mzuri kwao baada ya hapo uje utoe uchambuzi wako umekurupuka tu umeanza A,B na C hata ueleweki zaidi ya hisia zako tu
Na wewe toa hisia zako.
 
Back
Top Bottom