Makundi ya Damu (blood groups) na Mahusiano

Godmmit brother.. umepatia kabisa.
Kwa kuongezea group O si pushover, ni wavumilivu ila ukiwapanda kichwani watakuadhib with extreme prejudice. Halaf ni watu wa maamuzi magumu sometimes
Daah kama unanisema vile.
Mimi nikimkubali mtu kama mshikaji au hata mpenzi atafurahia sana.
Lakini pia ninajua kuvumilia kwa kiwango cha juu mno hadi watu huogopa.

Lakini nikichafukwa sawasawa we kimbia tu.
Mara nyingi hata polisi huwa nikichafukwa nalianzisha humo humo bila kujali.

Hii imenigharimu sana tu lkn jinsi ninavyoendelea kukua naona ninakuwa na subira kiasi[emoji28]

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Me ni B+ kusema kweli tabia zote ninazo tena umbea[emoji134][emoji134][emoji134] ninaongoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…