Makundi ya Damu (blood groups) na Mahusiano

Group O stand uuuuuup
 
Godmmit brother.. umepatia kabisa.
Kwa kuongezea group O si pushover, ni wavumilivu ila ukiwapanda kichwani watakuadhib with extreme prejudice. Halaf ni watu wa maamuzi magumu sometimes
Hii ya maamuzi magumu hii, nishaifanya Sana tuu... Na sipendi kuona mtu akionewa, nitamtetea Kwa Hali yoyote ile kama uwezo ninao. Ni mpole sanaaa lakini pia ukinitibua doh[emoji2360] hutaamini na macho Yako.
 
Aiseeee B+ [emoji23][emoji23][emoji23] sema siamini amini lakini Kama upo ukweli Fulani iv
 
Group O, Kila kitu ni ukweli mtupu. Uongo dah nauchukia Sana Sana. Msimamo ss[emoji16], liwe zuri liwe baya nikilisimamia siliachii.... Siwezi kumtendea mtu ubaya, nikikwambia nakupenda basi namaanisha.
 
Huu Uzi haijakamilika.
Kuna group
A+
A-
B+
B-
AB
O+
O-

Hakika hawa watu utaweza kuchambua ukihusisha kundi la damu na Rhesus factor zao.

N.B Mimi ni B+
 
Huu Uzi haijakamilika.
Kuna group
A+
A-
B+
B-
AB
O+
O-

Hakika hawa watu utaweza kuchambua ukihusisha kundi la damu na Rhesus factor zao.

N.B Mimi ni B+
Somo lilihusiana na blood groups in term of ABO system na sio rhesus factor mkuu bt asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…