Uchaguzi 2020 Makundi ya Mafisadi na yaliyohujumu CCM 2015 yaanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni yakijiandaa kutoa Rais 2025 kutoka kundi lao

Uchaguzi 2020 Makundi ya Mafisadi na yaliyohujumu CCM 2015 yaanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni yakijiandaa kutoa Rais 2025 kutoka kundi lao

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
 
Wengi hiyo mikundi iliyohujumu CCM na Mifisadi na wafuasi wao wa hiyo mikundi wengi wamechukua fomu kutia nia ili kuongeza chances za kushinda!!! Kamati za kuchuja kazi kwenu
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
Makundi gani hayo? Tuache siasa za maji taka.
 
Jamaa hujielewi, bosi wako mwenyewe alimchukua Rostam, kisha akamuongezea na Lowassa, sasa wewe ukisema hao jamaa wanajipanga sio kweli, hao wanapangwa na bosi wenu bila yeye mwenyewe kujua, bahati nzuri kwenu muombe hao watu wawili (Lowassa na Rostam) bado wawe na hasira na JK kutokana na kile alichowafanyia wakati ule, vinginevyo wakiungana nae tena mbele ya safari, hizi vurugu zenu zote za sasa kujenga nchi zitakuwa kazi bure.
 
Wewe makonda saizi ni raia mwema [emoji23], ukikataliwa tulia Kuna maisha nje ya uongozi!!!
......
IMG-20200720-WA0011.jpg
 
Back
Top Bottom