Labda niongezee tu hapo, saudi arabia mpaka silaha ananunua za US, matajiri wengi wa Saudi Arabia, hasa familia zao na vijana wao, maisha wanaenda kula bata US na nchi za Ulaya.Hawa watakuwa vilaza wa kutupwa. Mbona Marekani ni Mshirika mkubwa wa Saudi Arabia ulipozaliwa Uislamu! Pia ni mshirika wa mataifa mengi sana ya Kiislamu. Halafu mbona watu wengi wanaotoka mataifa ya Kiarabu wanakimbilia US na sio Russia?
This is nonsense Mimi ni mkristo lakini team Putin6. Wanaoshangilia hii vita kwa kuchukua upande wa urusi au ukraine kwa kigezo cha dini
Muislamu atamshangilia Mrusi kwasababu Marekani anayemsaport ukraine amekuwa na migogoro na nchi za kiislamu
Mkristo anaisaport Ukraine kwakua Marekani kuna implication ya imani ya kikristo
Hata Wewe umeonyesha dhahiri shahiri upo upande wa pro Nato. Huna Hadhi ya ku lecture Pro Russia.Tangu uvamizi wa Russia nchi Ukraine uanze Pro-Putin/Russia naweza kuwagawanya katika makundi matano
1. Wanaozungumzia huu uvamazi wa Urusi kwa upande wa Historia ila bahati mbaya historia imewapitia kushoto au ni ile historia waliyoisikia vijiweni tu kwa watu ambao hawajakanyaga hata darasa moja la Historia. Hapo utasikia NATO ilikuwa na makubaliano na Russia isijitanue kuelekea Urusi ikayakiuka, au kuna makubaliano/mkataba wa Russia na Ukraine isijiunge NATO . Hawa wanajitahidi ila Historia waliyo nayo ni uongo na hawana ushahidi wowote wa kihistoria.
2. Wanaozungumzia huu mgogoro kwa nadharia njama "conspiracy theories". Hawa wataongolea biolabs, ushoga, Covid, monkeypox, NWO na ujinga mwingine mwingi. Hawa ni wa kupuuzwa tu.
3. Wanaozungumzia huu uvamizi kama ushabiki wa Simba na Yanga tu. Hawa utasikia wanasema Ukraine sio Zimbabwe, NATO amezidiwa kila kitu na Russia, NATO kama mwanaume aingie vitani kupigana, dunia haiwezi kuwa na mbabe mmoja tu, Chechens wamekiwasha. Hawa wengi wao nafikiri ni watoto wa 2000 na hawajui hata maana ya vita nini.
4. Wanaompenda Putin na kushangilia uvamizi wake kwa sababu eti hata US au NATO huwa anavamia nchi nyingine na kwasababu hiyo taifa lingine lenye nguvu linaweza kufanya hivyo pia. Hawa ukianza kuwachumbulia case moja moja hoja yao inayeyuka kama povu
5. Wanaoamini NATO hasa US wame stage huu mgogoro kwa maslahi yao binafsi hasa ya kuuza silaha au wengine wanasema kuimuza Russia. Hapa utawakuta baadhi ya wasomi.
Hujui lolote Kuhusu Waarabu, Destination Kubwa ya Hao waarabu wa Gulf si Ulaya na Marekani bali ni Asia, Nenda Thailand Pataya huko, Maldies, Bali etc utawakuta Kibao, Even huku Kwetu wanakuja kwa wingi.Labda niongezee tu hapo, saudi arabia mpaka silaha ananunua za US, matajiri wengi wa Saudi Arabia, hasa familia zao na vijana wao, maisha wanaenda kula bata US na nchi za Ulaya.
Kuna waisilima kibao Pro Nato humu, ila sababu ya Chuki zako utaona otherwise,6. Wanaoshangilia hii vita kwa kuchukua upande wa urusi au ukraine kwa kigezo cha dini
Muislamu atamshangilia Mrusi kwasababu Marekani anayemsaport ukraine amekuwa na migogoro na nchi za kiislamu
Mkristo anaisaport Ukraine kwakua Marekani kuna implication ya imani ya kikristo
chuki dhidi ya nani?Kuna waisilima kibao Pro Nato humu, ila sababu ya Chuki zako utaona otherwise,
Unless unaongelea pro Iran wamekua pro Russia.
Hiyo ni moja kati ya 100This is nonsense Mimi ni mkristo lakini team Putin
Unajua mwenyewechuki dhidi ya nani?
Yatakwambia Congo haijaisaidia Tanzania ila USA ameleta KY ili warafiane vizuri, wakati kila Weekend wanainjoy ngoma za ferre gola wakinywa bia zao bar! Wabongo wanafiki sanaAcheni mvua iendelee kunyesha tuone panapovuja.
Wa afrika wenzenu kila siku wanauawa kwenye uwanja wa mapigano huko DRC, Somalia, Sudan, Ethiopia na n.k lakini mmekaa kimya tu wala hampigi kelele mkekaa kimya as if wanaokufa huku siyo watu ni nguruwe ila Ukraine na ulaya ndo watu si ndiyo?
Wa afrika wengi wamejaa unafiki sana na wengi ni bendera fuata upepo, jitu lipo tayari kukaa hapa kutwa nzima kuwatetea watu wa ulaya kuliko kulaani angalau hata kwa dakika chache tu, mauaji ya wakongo wanaokatwa vichwa kila kukicha.
Acha ulaya nao walionje joto la jua ili wajaribu kuishi maisha ambayo ndo yamekuwa maisha ya wenzao huku afrika na bara la asia kwa miaka mingi sasa.
Nachukia sana kuona Mtu mweusi kutoka Afrika anaejikuta anatetea migogoro ya ulaya nakukaa kimya kinachoendelea ndani ya bara lake na kwa majirani zake.
Shame on you poor Africans [emoji17]
Mi nadhani unajistukia tuUnajua mwenyewe
Kwa mkristo ondoa Ukrane na Urusi wote wakristo wote hawapingi ukristo ila waislamu wanaamin Urusi ni kipenz cha dini ya uislamu kisa an tuclip anawatetea waislamu ila waislam hao hao hawaoni USA alivyo weka mazingira mazur kwa waislam waishio USA tofaut na ukienda huko China au Urusi kuwa muislamu ni kosa kubwa sana6. Wanaoshangilia hii vita kwa kuchukua upande wa urusi au ukraine kwa kigezo cha dini
Muislamu atamshangilia Mrusi kwasababu Marekani anayemsaport ukraine amekuwa na migogoro na nchi za kiislamu
Mkristo anaisaport Ukraine kwakua Marekani kuna implication ya imani ya kikristo
Uvamiz haukubalikLengo la mada hii ni kitu gani? Maana kama hao wote ni waongo au hawajui kitu. Sasa ukweli ni upi? Tulinganishe hayo uliyosem tujue anaeufahamu chanzo cha mgogoro ni nini. Otherwise hutakuwa na tofauti nao
Chanzo cha Vita ni Urusi kuivamia Ukraine , au unachanzo kingine?Uongo huwa unakanushwa kwa kuweka ukweli. Sasa huo ukweli uko wapi.
Usifikirie kila mtu anauwezo mdogo wa kufikiri. Tupe historia au chanzo cha vita ni kipi ili "tuone na kuujua ukweli"
Balance of power hailetwi kwa kuvamia taifa nyonge , acha uchiz hlf unaeza kuta ni mtu mzm umeleta hoja hii , mnatuabisha sn , kwan China kavamia nan Kipind hiki ? Kwan haishindani na west? Piga kaz na sio kutaka balance ya kihuni ( mseleleko ) , west hawalali wanapambania status yaoNdiyo maana unajikojoleaga kitandani kizembe ,je sidi tunso jua umuhimu wa balance ya dunia katika nguvu.
Wewe unaoshabikia nato na usa [emoji631] nisawasawa na watu mnaopinga mfumo wa vyama vingi na kutaka chama kimoja, sidi tunso shabikia urusi tunataka mgawanyo wa nguvu za kidunia wenye balance.
Acha uzuz , Kama warusi wanapinga ww upo buza ndo unatetea eti unajua historia ya huu mgogoro , Ukraine imekuwa mwema sana kww Urusi kwa zaid ya miaka 20 ila Urusi haeshimu utawala wa ndani wa nchi majirani wake , hlf ww upo bonyokwa ndo unauona wema wa UrusiUislamu haukuzaliwa Saudia Arabia kama umesoma biblia,,,chanzo cha huu mgogoro wa Urusi ungekijua ungekua upande wa Urusi.
Kwan Urusi kavamia USA ? muwe mnatumia akili kdgIka ilikua halali kwa USA kuvamia Iraq, Afgan, Syria na Libya?
Shida hata kusoma hujuiKwan Urusi kavamia USA ? muwe mnatumia akili kdg
Safi Sana umeeleza vizuri 👍Hata Wewe umeonyesha dhahiri shahiri upo upande wa pro Nato. Huna Hadhi ya ku lecture Pro Russia.
Kabla ya Hii Vita Kila chombo cha magharibi walikuwa wakiwareport Azov kama kikundi cha kuhalifu/Kigaidi, Nenda BBC, CNN, TIMES na wengineo wote wana Makala zao, Azov wana mauaji makubwa Ulaya na Marekani Hata kina ISIS hawaingii ndani,
Baada ya Hii vita kuna Nguvu kubwa ya ku wa Whitewash, vyombo hivyo hivyo sasa vinawasafisha as if ni watu wazuri.
Mtu yoyote ambaye yupo Neutral atawaonea Huruma raia wa kawaida wa Ukraine, Si Urusi wala Si Jeshi la Ukraine linajali Raia, ila Kujifanya eti upande fulani upo vizuri zaidi huo ni unafiki tu.