Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

Ni kweli haina uhusiano na uislamu maana uislamu kamili ni majanga, kama wangefuata uislamu kamili basi ingebidi wachinje watu kabisa kwa kufuata haya maagizo yenu

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Mkuu unaupiga mwingi.
 
Kibwetere hakua mwarabu
IMG_20230703_091527.jpg
 
Wislam unasema mkimaliza kusali tawanyikeni mkatafute pesa laki upande wapili ni tajili kuuona ufalme wa mbingu ni sawa na ngamia kuingia kwenye tundu la sindano kwahiyo utajili hauwahusu
 
Mwislam anaweza aweza kua na m10 wewe ukawa na m2 wewe mwenye m2 ukaonekana tajiri kwasababu huna elimu ya utajili ndo nyie mkiona mzungu kavaa nguo zimechanika mnasema huyu ni maskini badirikeni dunia iko kass xana
 
Ni kweli haina uhusiano na uislamu maana uislamu kamili ni majanga, kama wangefuata uislamu kamili basi ingebidi wachinje watu kabisa kwa kufuata haya maagizo yenu

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”

Bila shaka unaishi Vatican ..maana unavowachukia waislam cjui kama hata hapo mtaani utakua unaishi nao hivo hivo kwa chuki au lah.Pole xnaa kijana
 
Yale yale tu, Waafrika wanakusanyika kusheherekea tamaduni na desturi za Kiafrika kisha Waislamu Waafrika wakaibuka na kuzuia na kusema zifuatwe tu tamaduni za Kiarabu yaani Kiislamu kwenye mkoa wa Yoruba, Nigeria, Afrika........

A Muslim group, Majlisu Shabab li Ulamahu Society, in Ilorin, Kwara State has stormed the residence of a traditional religion priestess to impose a ban on any form of isese festival in five local governments in the state.

Isese, the Yoruba word for tradition, is used to denote different kinds of festivals held by adherents of the Yoruba traditional religion in Nigeria and Cuba, Brazil, the United States, Benin, and other countries.

The group listed four local governments in the state where any form of traditional religion is prohibited. The local governments are Ilorin West, Ilorin East, Ilorin South, and Asa.

The group warned a young woman who attended to them at the priestess’ residence that the Emir of Ilorin, Dr. Ibrahim Sulu-Gambari, sent them to convey the warning.

In a viral video published on Facebook on Monday by one Arowolo Abdulfatai (Sheikh Abdul Fathai Arowolo), members of this group located in the Oke Adini area of Ilorin said the visit was prompted by reports of an imminent traditional festival, known as isese, planned by the priestess.

The priestess, who is an Osun devotee, Yeye Adesikemi Olokun Omolara Olatunji, had reportedly released fliers announcing a three-day traditional event aimed at celebrating certain Yoruba deities.

Reacting to the social media post, members of the Muslim group stormed the home of Yeye Adesikemi where her sister simply identified as Alaba, whom many of the Imams present, took turns to either address or confront with statements and questions, to warn against the actualisation of said event.

Although the group stressed that the visit and their intentions were peaceful, the Imams, while making subtle threats, warned Alaba of the potentially dire consequences of holding the festival, while stressing that the state only supports Islamic activities.


Speaking in Yoruba, a member of the group, who described himself as an Imam, said, “Ilorin does not permit idol worshipping, we are ardent Muslims in the land of the emirate.”
Na hapa waanze kuvamia vigodoro
 
Bila shaka unaishi Vatican ..maana unavowachukia waislam cjui kama hata hapo mtaani utakua unaishi nao hivo hivo kwa chuki au lah.Pole xnaa kijana

Siwachukii waislamu, wengi ni Waafrika wenzangu, sema muarabu ndiye kawaroga na dini yake na kuwafanya wawe kama mazombi ya kuua waafrika wenzao, kawaachia haya maagizo

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Waafrika ni wajinga sijawahi kuona, yameacha Mila zao, Mavazi Yao ya ngozi kufunika eneo la mbele tuu, wameacha vyakula vyao Sasa hivi wanaabudu Mila za wakoloni wa kiarabu. Aliyeleta hii dini Afrika ndiye aliyetusababishia matatizo. DP world
 
Kwani kuna aliekuzuia kutambika tambika vaa ngozi funika tako pengine acha wazi vua hizo nguo sio tamaduni yako
 
Tamaduni za kiislmu hazina mana wala nafasi kwenye tamaduni za kiafrika.
Siku ukitambua kua hao unaowapenda ndo wanakwambia ukizuia ushoga wankuekea vikwazo na ndo wanafanya majaribio ya siraha zao kwa binadamu utarudi kua muislam maana ndo dini pekee iliyobaki kukutetea hata yule muislam aliesema bendera ya mashoga isipepe kwenye jimbo lake kuna wajinga walichukua ila mwisho wa siku uislam unasimama kwa kasi
 
Back
Top Bottom