Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

Tamaduni za kiislmu hazina mana wala nafasi kwenye tamaduni za kiafrika.

Anaerudi kwenye uislamu hafuati hizo mila za kijahili mkuu, hebu niambie wale wote walioingia katika Uisilamu je wanafuata mila hizo za kisheitwani!! Huwezi pata hata mmoja, na ukimpata basi huyo sio muislamu bali ni jina tu.
 
Mwislam anaweza aweza kua na m10 wewe ukawa na m2 wewe mwenye m2 ukaonekana tajiri kwasababu huna elimu ya utajili ndo nyie mkiona mzungu kavaa nguo zimechanika mnasema huyu ni maskini badirikeni dunia iko kass xana
Madrasa mnafundishwa kuvaa vizuri/kujipenda ni dhambi?
 
Kuweni makini, watu wako kazini, wanatumia kila mbinu hasa za kidini kuwatoa kwenye issue ya Bandari.
 
Kujiita mkristo ni upungufu wa elimu akuna kwenye biblia ilipoandikwa kua wewe ni mkristo wala ukristo ni dini sema watu watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa
Nadhani ungejibu hoja kuhusu mafundisho ya kiislamu yaliyowekwa hapo tena kwa kufanya reference kabisa kutoka katika kitabu unachotumia kama msingi wa imani ya kiisilamu

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Nshamjibu kua kibwetele wayuganda sio muislam au makenzi wa kenya sio mwislam au kuna jibu tofauti na hilo
 
Nshamjibu kua kibwetele wayuganda sio muislam au makenzi wa kenya sio mwislam au kuna jibu tofauti na hilo
Hao akina Kibwetere na Makenzie waliua waumini wao kwa kuamini walichofanya ni sahihi, lakini waisilamu wanafundisha kuua watu wengine wasioamini katika uisilamu. Kwani hilo nalo limekushinda kuelewa kinachojadiliwa hapa kuhusu hayo maandiko?

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Kujiita mkristo ni upungufu wa elimu akuna kwenye biblia ilipoandikwa kua wewe ni mkristo wala ukristo ni dini sema watu watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa
Mtume wenu alienda chooni ndio alikuwa anapewa aya akidai anashushiwa Chooni ni mashetani tu ndio yapo.. na aliambiwa soma akasema sijui kusoma soma sijui soma sijui.. alikuwa anajibu tree times.. ujinga mwingi

Kwa hiyo unapingana na Koran, Al lah na Mohammad? amabo wanajua Wakristo wamfuatao Yesu ni Wakristo na Al lah aliwashushia kitabu kabla ya waislam kinaitwa Injeel...

Kwanini Waislam wengi ni wajinga wajinga hawajui dini yao au hawasomi Koran vizuri? yaani mijipumbavu fulani hivi... Nawaambieni Muslim ambao hamjui kiarabu Madrassa mnafundishwa chuki tu pekee na sio Tafsiri ya koran
Koran kuanzia Al lah Sio Mungu na Al lah ni jina tu waliloiba kutoka Lugha ya Yesu huko Israel Aramaic na Al lah ni same Pagan God aliyeitwa Lah ambaye ni Mungu Mwezi... Tizameni alama Misikitini Google Lah utapata jibu ni Mungu Mwezi

Mwamedi alitumia ubabe wake akiiba riwaya zilizokuwa kama nyimbo ndio maana Koran huwa inaimbwa kama mashairi songi fulani hivi. and aliiba story za wayahudi... na wayahudi walikuwa wanamshushua sana kwa vichapizi vyake baada ya kukopi na kuviweka kwenye koran ndio maana anawachukia sana Wayahudi na wakristo.. Even majina ya kwenye Torah alivuruga Alifikia kuchanganya majina baba yake Mussa na Mariamu mama yake Yesu kuwa mzazi wao ni mmoja. Yesu pia alimuita Isa jina la kigiriki

Usilam hauna urafiki na non Muslim so Muislam haswa hawezi kuwa na Urafiki labda afanye unafiki na takiya ameruhusiwa ndio kinachoendelea Duniani...

Huyo aliyechoma Koran ni Arabs anaijua vizuri Koran ni belong to Shaitan na hilo lipo wazi na Koran inaelezea openly kabisa na hakuna ubishi... hata Aya za Shetani zimejaa kwenye Surat Jinn.. Allah aliahidi kuziondoa baada ya Muslim kumjia juu Mwamedi lakini hazikuondolewa hadi leo hii so Muslim lazima amfuate Shetani katika Ibada zake... na Waislam walipigwa marufuku kuuliza uliza Maswali na Shetani Koran Al-Maidah 102 kuwa wakiuuliza uliza sana wataacha kuamini
 
Wapo katika ujahili bado, hawajitambui.....ipo siku wataachana na hizo mila na kuingia katika Uisilamu na kufuata maamrisho yake

Nao wanaona mpo katika upagani wanatamani nanyi mrudi kwenye mila na tamaduni za kiafrika. So ngoma droo kaa kutulia wewe fanatic.
 
Hakuna dini ya kijinga kama uislam
 
Koroani razima ata za shetani ziwemo ili muwezekujua kumjua shetani maana bila kuwemo utajuaje kama kubet ni haramu mwanaume kuolewa ni haramu huoni kama uko nyuma na ulimwengu najua chuki yako ni kwasababu uislamu unapinga ushoga hazarani nawewe hicho ndo kitu unaitaji hapo uislam utauchukia ila uislamu ni dini ya haki
 
Fyuuu
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…