Makusanyo ya Mapato, Jiji la Tanga Laongoza Kitaifa

Makusanyo ya Mapato, Jiji la Tanga Laongoza Kitaifa

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Bila kupoteza muda,

Halmashauri ya Jiji la Tanga imeongoza kwa Kukusanya mapato kwa Asilimia 113% na kuyapiku majiji ya Dsm,Dodoma na Mwanza.

Mambo yanazidi kwenda kwa Kasi sana 👇

---
WAZIRI wa TAMISEMI Innocent Bashungwa ametoa taarifa ya mapato kwa mikoa ya Tanzania Bara katika mwaka wa fedha 2021/22 ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imeongoza baada ya kukusanya asilimia 247, ikufuatiwa na Mlele (185%) na Morogoro asilimia 158.

Bumbuli imekuwa wilaya ya mwisho kwa kukusanya asilimia 58 ya makisio ya mwaka, ikufuatiwa na Korogwe (67%) na Bunda asilimia 70.

Chanzo: Habari Leo
 
Naomba kufahamu ulivyoielewa taarifa, ni kwamba Jiji la Tanga limeongoza kwa kukusanya pato kubwa zaidi ya Majiji mengine, au ni limeongoza kwa kufikia lengo lake la makusanyo, kwa kumaanisha inawezekana kuna Majiji hayajafikia hata malengo yao ya makusanyo na bado yakawa yamekusanya pato kubwa zaidi ya Tanga?
 
Naomba kufahamu ulivyoielewa taarifa, ni kwamba Jiji la Tanga limeongoza kwa kukusanya pato kubwa zaidi ya Majiji mengine, au ni limeongoza kwa kufikia lengo lake la makusanyo, kwa kumaanisha inawezekana kuna Majiji hayajafikia hata malengo yao ya makusanyo na bado yakawa yamekusanya pato kubwa zaidi ya Tanga?
Nilivyomuelewa mimi hapo ni kwamba, wamefikia na kupita malengo yaliyowekwa kulingana na idadi ya watu (wahusika), na ndio maana ikatolewa in terms of percentage. Kwa hiyo, sio suala la kiasi tu (amount), bali kiasi kwa idadi ya wahusika.
 
Bumbuli imekuwa wilaya ya mwisho kwa kukusanya asilimia 58 ya makisio ya mwaka, ikufuatiwa na Korogwe (67%) na Bunda asilimia 70.
Unatengemea nini kama Mbunge wake yuko Busy kuzunguka Mawilayani kunadi mitungi ya Gas ya Taifa Gas ya Mpiga Deal Rostam Aziz!, Uwaziri umemfanya asahau kuwa yeye ni sehemu ya Madiwani wenye dhamana ya kusimamia CMT pale Halmashauri!!!
 
Naomba kufahamu ulivyoielewa taarifa, ni kwamba Jiji la Tanga limeongoza kwa kukusanya pato kubwa zaidi ya Majiji mengine, au ni limeongoza kwa kufikia lengo lake la makusanyo, kwa kumaanisha inawezekana kuna Majiji hayajafikia hata malengo yao ya makusanyo na bado yakawa yamekusanya pato kubwa zaidi ya Tanga?
Kufikia lengo,
 
Bila kupoteza muda,

Halmashauri ya Jiji la Tanga imeongoza kwa Kukusanya mapato kwa Asilimia 113% na kuyapiku majiji ya Dsm,Dodoma na Mwanza.

Mambo yanazidi kwenda kwa Kasi sana [emoji116]

---
WAZIRI wa TAMISEMI Innocent Bashungwa ametoa taarifa ya mapato kwa mikoa ya Tanzania Bara katika mwaka wa fedha 2021/22 ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imeongoza baada ya kukusanya asilimia 247, ikufuatiwa na Mlele (185%) na Morogoro asilimia 158.

Bumbuli imekuwa wilaya ya mwisho kwa kukusanya asilimia 58 ya makisio ya mwaka, ikufuatiwa na Korogwe (67%) na Bunda asilimia 70.

Chanzo: Habari Leo

Dodoma haina hadhi ya kuitwa jiji
 
Bila kupoteza muda,

Halmashauri ya Jiji la Tanga imeongoza kwa Kukusanya mapato kwa Asilimia 113% na kuyapiku majiji ya Dsm,Dodoma na Mwanza.

Mambo yanazidi kwenda kwa Kasi sana 👇

---
WAZIRI wa TAMISEMI Innocent Bashungwa ametoa taarifa ya mapato kwa mikoa ya Tanzania Bara katika mwaka wa fedha 2021/22 ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imeongoza baada ya kukusanya asilimia 247, ikufuatiwa na Mlele (185%) na Morogoro asilimia 158.

Bumbuli imekuwa wilaya ya mwisho kwa kukusanya asilimia 58 ya makisio ya mwaka, ikufuatiwa na Korogwe (67%) na Bunda asilimia 70.

Chanzo: Habari Leo
HONGERA KWA JIJI LA TANGA
 
Leo tunacheza baikoko na vigodoro kuanzia kwa minchi, nguvumali, kisosora, chumbageni, mwembemawazo, bara za namba, duga nk
 
Back
Top Bottom