Malagarasi Hydropower Project - Loan Approved

Malagarasi Hydropower Project - Loan Approved

Sijui ni mimi sina kumbukumbu; hivi mraji wa umeme wa Rufiji ukikamilika si tutakuwa na ziada ya umeme kama taifa? Kama ni ndiyo hatuna kipaumbele kingine zaidi ya kuanza mradi mpya wa umeme?
 
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
habari tamu bwana
 
Safi sana Mzalendo wa kiafrica Rais wa AfDB bwana Adesina Akinwumi, tunataka kuachana na mikopo ya mabeberu. AfDB ni ya waafrika na itajenga Afrika
 
Sijui ni mimi sina kumbukumbu; hivi mraji wa umeme wa Rufiji ukikamilika si tutakuwa na ziada ya umeme kama taifa? Kama ni ndiyo hatuna kipaumbele kingine zaidi ya kuanza mradi mpya wa umeme?
Umeme ni bidhaa saleable tumezungukwa na nchi zina uhaba wa umeme.Kitakacofuata ni kujenga mkonga wa umeme kuuza nch jirani
 
Umeme ni bidhaa saleable tumezungukwa na nchi zina uhaba wa umeme.Kitakacofuata ni kujenga mkonga wa umeme kuuza nch jirani
Tutauza kwa "COST + mark up" au "below cost" kama tunavyowauzia Zanzibar?
 
Umeme ni bidhaa saleable tumezungukwa na nchi zina uhaba wa umeme.Kitakacofuata ni kujenga mkonga wa umeme kuuza nch jirani
Mnafikiria serikali zilizopita zilikuwa na wapumbavu kiasi ambacho walikuwa wanashindwa kukopakopa hovyo? I mean kukopa imekuwa sifa na kitu cha kushangilia siku hizi? Tena US $140 kwa nchi kama yetu? Huyu jamaa mpaka aondoke aitacha Tanzania kwenye madeni yasiyoelezeka. Ndiyo maana anataka kuua demokrasia ili aweze kumpachika mtu wa kumfichia madhambi yake siku atakapotoka.
 
Tutauza kwa "COST + mark up" au "below cost" kama tunavyowauzia Zanzibar?
Hawana hadhi ya kufanya majadiliano kama haya. Wanaokopa na hawa wapiga debe akili zao ni moja. Ni kama walivyokurupuka kununua ndege ambazo zinawaozea sasa hivi na zimeishaingiza hasara ya mamilioni japo inafichwa.
 
Mnafikiria serikali zilizopita zilikuwa na wapumbavu kiasi ambacho walikuwa wanashindwa kukopakopa hovyo? I mean kukopa imekuwa sifa na kitu cha kushangilia siku hizi? Tena US $140 kwa nchi kama yetu? Huyu jamaa mpaka aondoke aitacha Tanzania kwenye madeni yasiyoelezeka. Ndiyo maana anataka kuua demokrasia ili aweze kumpachika mtu wa kumfichia madhambi yake siku atakapotoka.
Mkuu serikali zilizopita zilifanya mengi mazuri.Kuanzia 2015 tumeanza kutafuta kujitegemea kiuchumi, ni lazima tukope ili tuwekeze na kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji.Wawekezaji wakija watalipa kodi na tutapunguza utegemezi na finally tutapata nguvu ya kukopa na kulipa.Sasa serikali inatakiwa kukopa sana kwa sasa ili kuongeza TAX BASE.Tunataka kuondokana na traditional taxation sources mambo ya kodi ya sigara, soda, bia nk
 
Mkuu serikali zilizopita zilifanya mengi mazuri.Kuanzia 2015 tumeanza kutafuta kujitegemea kiuchumi, ni lazima tukope ili tuwekeze na kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji.Wawekezaji wakija watalipa kodi na tutapunguza utegemezi na finally tutapata nguvu ya kukopa na kulipa.Sasa serikali inatakiwa kukopa sana kwa sasa ili kuongeza TAX BASE.Tunataka kuondokana na traditional taxation sources mambo ya kodi ya sigara, soda, bia nk
Ndivyo mnamvyomdanganya jamaa siyo? Haya.... siku zote ukweli huchelewa kufika lakini lazima utafika.
 
Jamani, kila kitu ni mkopo au msaada!!

SGR mkopo, Stigliers mkopo, flyover msaada, kupambana na covid misaada, ujenzi wa madarasa mkopo, ujenzi wa vyoo vya wanafunzi mkopo, ARVs msaada, chanjo za watoto misaada, ujenzi wa barabara kuu mikopo na misaada - ni kitu gani tunagharamia wenyewe? Kwa upande wa bajeti ya maendeleo, hela yetu inatosha kununulia ndege tu?
 
Safi sana Mzalendo wa kiafrica Rais wa AfDB bwana Adesina Akinwumi, tunataka kuachana na mikopo ya mabeberu. AfDB ni ya waafrika na itajenga Afrika
Wewe ndiyo mjinga kweli!! Hivi unajua kwenye hiyo AfDB ni nani mwenye hisa kubwa?

Kama hufahamu, hiyo bank wenye hisa kubwa ni EU na USA. Jielimisheni. Siyo kila chenye neno Africa ni cha Waafrika. Unakopa hapo AfDB, unalipa riba halafu hao AfDB inapokutana na wanahisa, wanaamua juu ya malipo ya wanahisa.

Leo hii, wazungu wakiondoa pesa yao AfDB, hiyo bank inayumba. Ndiyo maana wenye akili wakiwasikia wajinga wanawasema wazungu eti ni mabeberu, unajua kuwa ni maneno yanayotoka kwa mwendawazimu.

Angalia wanahisa 10 wakubwa wa AfDB, halafu nionesha nafasi ya donor country:

AfDB 10 biggest shareholders:

Nigeria: 9.1%; US: 6.5%; Egypt: 5.5%; Japan:5.4%;

South Africa: 4.9% Algeria: 4.1%; Germany: 4%;

Canada: 3.8%; Ivory Coast: 3.7%; France: 3.6%

Mpaka India ni wanahisa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tanzania: African Development Bank approves $120 million loan to build Malagarasi Hydropower Project


The hydropower plant’s expected average annual output of 181 GWh will meet the electricity needs of as many as 133,649 Kigoma households

ABIDJAN, Ivory Coast, November 26, 2020/APO Group/ --

The Board of Directors of the African Development Bank (AfDB.org) have approved a $120 million loan to fund the construction of a 50 MW hydropower plant in Western Tanzania that will provide reliable renewable energy to households, schools, clinics and small and medium-sized enterprises in the Kigoma Region.

The Malagarasi Hydropower project has several components: a run-of-the-river hydropower plant facility; a 54- km, 132 kV transmission line that will connect to Tanzania’s national grid; a distribution network expansion operation that includes rural electrification and last-mile connections; project management and contract administration support; and compensation and resettlement of affected persons.

Bank President Adesina Akinwumi noted that the approval of the project “is a reflection of the Bank’s commitment to assist the Government of the United Republic of Tanzania to accelerate its transition to more inclusive and sustainable growth through the production of clean, reliable and affordable electricity.”

The project is expected to create about 700 jobs during construction, cut the region’s electricity generation costs to approximately $0.04/kWh from the current $0.33/kWh

The project’s overall project cost is estimated at $144.14 million. The bulk of the funding ($120 million) will be sourced from the Bank Group’s sovereign window, with an additional $20 million contributed by the Africa Growing Together Fund – a co-financing fund with resources from the government of the People’s Republic of China that is administered by the Bank. The Government of Tanzania will provide the remaining $4.14 million.

The hydropower plant’s expected average annual output of 181 GWh will meet the electricity needs of as many as 133,649 Kigoma households, bringing the region’s electrification rate more closely in line with the rest of the country.

The project is expected to create about 700 jobs during construction, cut the region’s electricity generation costs to approximately $0.04/kWh from the current $0.33/kWh, and also reduce reliance on greenhouse gas-emitting fossil fuels. The cost of doing business will also fall because industry will no longer need to maintain costly back-up generators.

The project aligns with Tanzania’s national Development Vision 2025 and its Second Five-Year Development Plan (2016/17 - 2020/21) and complements other regional initiatives, including the North West Grid 400 kV Nyakanazi-Kigoma transmission line project, which the Bank is financing in parallel with the South Korea Economic Development Co-operation Fund.

The Malagarasi Project will also directly contribute to the Bank’s Light Up & Power Africa High-5 development priority, which is being implemented through the institution’s New Deal on Energy for Africa strategy.

Commenting on the Board’s approval, Henry Batchi Baldeh, Director of the Bank’s Power Systems Development Department noted that the project is “one of the flagship physical infrastructure investments in the Government of the Tanzania’s Development Vision 2025 and Tanzania’s current Five-Year Development Plan, and that it will increase the share of renewable energy in Tanzania’s energy mix.”

Distributed by APO Group on behalf of African Development Bank Group (AfDB).

Wenye wivu wajinyonge.
Kuna wapumbavu watasema huo mradi hauna uhusiano na maendeleo ya wana Kigoma.
 
Kila jambo mbele ya uso wa Tanzania ni muhimu sana
= Maendeleo ya miundombinu ni muhimu,
= Maendeleo ya kiuchumi ni muhimu,
= Maendeleo ya kisiasa ni muhimu,
= Maendeleo ya kiteknolojia pia ni muhimu.

Tusiwe vipofu
 
Back
Top Bottom