Malaika kwenye kiwiliwili cha binadamu

Nakujibu namba 3..

Kama unatumia JF App yenyewe mwisho inaonesha likes 5 na wewe uki like unaonekana wa 6 hata kama kuna likes 100, ukitaka kujua idadi halisi ya likes tumia browser..

Kwa mfano(angalia picha hapo chini) story hii ina likes 35 mpaka sasa,ukiangalia kupitia browser..

Lakini kwakutumia app inaonesha likes 5 tu..

Hivyo ukiwa humu kwenye app ukiona post ina likes 1,2,3,4 ujue ni kweli, lakini ukiona 5 ujue ni aidha 5 kweli au zaidi ya hizo..

Mods wabadilishe hiki kitu kinakera kwakweli .
 
Nimesoma word to word,line to line...nilichojifunza ni kuwa "jamii zilizostaarabika zinajali sana utu wa mtu ikiwa ni pamoja na hisia zake"
Lkn hapo angekuwa ni Msanii wa Bongo movie au Bongo flavour ndyo anhtajika kufanya hivyo asingeweza...hapo ndpo unapoona kuwa kuna tofauti kati ya wasanii wa Ulaya na Marekani ambao pia husimamia miiko tofauti na hawa wa Tanzania ambao wanafanya umalaya kipitia mgongo wa sanaa!
 
Umenipa funzo shukrani pia kwa kuniliza machozi. Siku nyingi sijalia hadi leo
 
Sijawahi kusoma nyuzi ndefu nikamaliza lakini hii nimejikuta nimeimaliza, hadi machozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…