Niko nafanya mpango wa kuhamia, marekani ili kugombea urais kule, manake huku mimi japo sio mtabiri, lakini nishajua mapema atakaeshinda urais uchaguzi ujao.
Naona USA patanifaa kutimiza ndoto yangu ya kua Rais[emoji123] .
Naweka onyo, Nikipata nisisikie MTU anasema eti Mimi ni mtanzania.
Taua MTU kwa gun [emoji35] [emoji379] .
Daadeki.
Mkileta za kuleta natuma drone kuja kudondosha nuclear ili kuwafuta kwenye ramani ya dunia