Malalamiko kuhusu uongozi wa NSSF

Hivi vitu ni vya kawaida hasa miaka ya uchaguzi mkuu.

Pesa zinakusanywa ktumika kwenye uchaguzi mkuu, kumbuka donor waligoma kutoa pesa baadhi ya miradi, na sasa inagharimiwa na serikali ingawa kwa kusuasua, unadhani pesa inatoka wapi?!

Kila sehemu wanalia lakini tatizo ni uchaguzi wa mwisho wa mwaka.

Wanaopelekewa pesa ni kwa mkakati wa serikali tena nao hupata kidogo huku wakiangalia wapi pa kupata pesa.

Siasa ndizo zinaleta yote haya, usiumize kichwa saana.
 
Na waliandika sana humu jf sijui jamaa alihonga ilifutwa, wala hakuchuliwa hatua zozote leo kakabidhiwa dude mtashaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Erio na siyo Urio
 

Erio ni mtoto wa dadake mkapa hagusiki, ana mainformer wa usalama hivyo hata mnaomsema humu hamko salama,
Ila kama ikimpendeza Rais basi asikilize maoni ya watu huenda kuna jambo kwa huyu bwana Erio
 
SIO URIO NI ERIO ... TUWEKE KUMBUKUMBU SAWA MAANA KUNA HOJA ZA UKABILA ZIPO NJIANI KWENYE HILI BANDIKO
Na angekua mchagga ningeshindilia kwa rais hadi amtumbue maana wamezidi hawa
 


Ni mzoefu na mpika data kama aliweza kudanganya kuhusu idadi ya wanachama tu unategemea nini kwenye masuala nyeti zaidi kama ya fedha?

Sasa baba lao ni alipoingia na kukuta lengo ni kukusanya 1tr akashusha hadi 760m ili likifikiwa asifiwe kua ameweza kukusanya kuliko watangulizi wake.
Mtakoma wenyewe.
 
Wawatume kukagua nini wkt pesa wameichukua wao wenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si mstaafu mmojawapo ni ndg yake,acha ajilipe tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandishi umeeleza vyema. Kusema kweli kumekuwa kukipita nyuzi nyingi sana za malalamiko hasa ya wanachama juu ya malipo ya Pension zao. Wameeleza mara nyingi hapa kuwa wanazungushwa sana na kutopewa mirejesho na wamekuwa wakitaja baadhi ya staff kuwajibu nyodo sana na kutaja baaadhi ya ofisi.
Nadhani wahuhusika wameona na naamini watafuatilia kwa kina. Hata hivyo umeeleza kwa kina na kutoa data muhimu.
Lakini waTZ pia ni vichwa ngumu sana kwa kasi ya Mh.raisi anavyokemea mambo haya kila siku lakini watu wameota mapembe yaliyokomaa na hawaogopi wala kuwa na hofu.
Mtu unalipwa mshahara mzuri na beneficiaries kibao kwa kodi za wananchi unashindwaje kufanya kazi na kusaidia WaTZ wanyonge?.
Inasikitisha sn. Kushindwa kulipa wanachama wenu ni wizi na utapeli.
 
alieharibu nssf ni yule aliekuwa anajenga misikiti kila palipo na jengo la shirika. nssf siyo nyumba ya ibada, ni shirika la umma. vijana wa kiislamu mlioajiriwa ndani ya shirika fanyeni kazi acheni hizi risala ndefu mnazoandikiwa na maimamu.

Naona Watu wameanza kujificha kwenye Kichaka cha Udini kujinusuru

Mtoa Mada kashauri Rais atume timu ya watu waadilifu wachunguze then wampe taarifa

Kama kuna hiyo Misikiti pemben ya Majengo ya Nssf pia utasaidia kuiambia hiyo Task force
 
Tunavyomfahamu utendaji wa Mhe.Rais anahitaji kuunda tume? kwani mnadhani hajui kilichokuwa kinaendelea ndani ya NSSF na nini kimefanyika? Acheni majungu . Wacheni watu wapige kazi.

Naona Watu wameanza kujificha kwenye Kichaka cha Udini kujinusuru

Mtoa Mada kashauri Rais atume timu ya watu waadilifu wachunguze then wampe taarifa

Kama kuna hiyo Misikiti pemben ya Majengo ya Nssf pia utasaidia kuiambia hiyo Task force

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunavyomfahamu utendaji wa Mhe.Rais anahitaji kuunda tume? kwani mnadhani hajui kilichokuwa kinaendelea ndani ya NSSF na nini kimefanyika? Acheni majungu . Wacheni watu wapige kazi.



Sent using Jamii Forums mobile app

Mleta uzi kashauri NSSF ichunguzwewna wewe umeshauri isichunguzwe, yote hayo ni maoni na ndio msingi wa Jf kila mmoja kuwa huru kuwaza apendavyo
 
Sasa amekuja anaejenga kanisa mbona ndio kafeli kabisa bora aliyekuwa anajenga msikiti kuliko mjenga kanisa
alieharibu nssf ni yule aliekuwa anajenga misikiti kila palipo na jengo la shirika. nssf siyo nyumba ya ibada, ni shirika la umma. vijana wa kiislamu mlioajiriwa ndani ya shirika fanyeni kazi acheni hizi risala ndefu mnazoandikiwa na maimamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eee bana see hili Taifa letu si la udini wala ukabila nyie ndio mnaokosa uzalendo na Taifa lenu yaaani badala ya kujadili mada zenye kuleta tija wewe unabwabwaja tuuu...eti kanisa ...eti misikiti kweli nimeamini tuna vilaza weeeengi sana

Tusipotezeane muda aisee
Wakristo. Mmmmmmmmmmmhh hata ndalichako kavuruga wazara ya elimu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati kuna Kiongozi mmoja wa nchi alishauri Watanzania tupende kusoma ili tuwe na uwezo wa kupambanua issues mbalimbali ninachoona hapa watu mna chuki zenu binafsi na kusahau NSSF ni Taasisi na ofisi ya mtu kapuni hebu basi tujifunze kidogo Taasisi inaendeshwaje halafu tuje kuleta Uzi wenye mashiko dah yaaani mnaboa saaana@Big youu,

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mi nauliza hivi katika uelewa wangu kama mshikaji hapo juu alivyosema nani asiyejua umahiri wa Erio Katika Hifadhi ya Jamii mwenyewe huyu jamaa Nina mind kwa kuwa Kabana njia zote za kupata pesa kwa njia za chini ya kapeti kama tulivyokuwa tunaenda pale NSSF zamani lakini ndio katunyooosha wooote tuliokuwa tunapenda maisha ya Mafanikio ya fasta fasta yasiyo halali oooh ngoja niiishie zangu maana naona ishakuwa ndivyo sivyo.. kuchele kuchele
Mleta uzi kashauri NSSF ichunguzwewna wewe umeshauri isichunguzwe, yote hayo ni maoni na ndio msingi wa Jf kila mmoja kuwa huru kuwaza apendavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…