Wamesema wanafanya marekebisho ktk baadhi ya huduma so vifurushi vingine vinaweza visiwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
wametuma meseji mkuu
wametuma meseji mkuu
Kwani we bado unayo hiyo line? au huna kitambulisho cha kusajilia halotel au ttcl
Wametoa vifurishi vya chuo pia.Wamesema wanafanya marekebisho katika mtandao so baadhi ya vifurushi vingine vinaweza visiwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi tigo naipenda Sana siwezi kuiacha
Wametoa vifurishi vya chuo pia.
Sijui ndo ilani ya chama inavyosema??
Wametoa vifurishi vya chuo pia.
Sijui ndo ilani ya chama inavyosema??
Umefanya maamuzi sahihi.Tigo washenzhapa natoka naenda TTCL kubadilisha laini kabisa, wamenichosha.
Tigo siwezi kuiacha hata mseme vipiπππππHakuna Wanao Wachukia Sema Wajirekebishe Lasivyo Watashuka Kibiashara.
Sent using Jamii Forums mobile app