Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

Niliwahi kufanya utafiti nakupa hiyo kaa mda mrefu bila kutumia vifurushi vyao mfano anza na mtandao mmoja tigo au voda bila kununua vifurushi japo mwezi unaruka siku tano unanunua cha jero tu utaona wanakubembeleza kwa bure mb au gb na vifurushi wanakuuzia bei chee mfano gb2 kwa buku tu, ukiwa unawaungisha sana tena kuanzia buku tatu tano ... Wanakuona wewe ni kigogo nakupa hilo
 
Nataka niachane nao rasmi
 
Nna line ya Tigo na Voda tu.

Voda kwa ajili ya mihamala kupokea simu na text pia


Ila Tigo ndo nanunua vifurushi na huduma zote
 
Nna line ya Tigo na Voda tu.

Voda kwa ajili ya mihamala kupokea simu na text pia


Ila Tigo ndo nanunua vifurushi na huduma zote
Upo kama mimi voda siitumiagi kabisa hata menue yao nimesahau inafananaje
Line ya tigo ndio natumia kwenye biashara cos na deliver products hadi kwa mteja, sasa toka jana nimeshidwa kununua kifurushi cha kupiga ghali sana
Nchi hii, mitano tena[emoji17]
 
Kweli kabisa mkuu.
Wana tabia ya ajabu sana wakiona wewe ni mteja wa kudumu Na upo active sana kwenye ununuaji wana kupandishia gharana hawa jamaa.
Mimi ninazo tigo Na voda nakumbuka kuna kipindi niliipotezea voda kabisa nikawa nafumia tigo walikuaa Na bundles nzuri sana with time wakanibadilikia vifurushi vikapanda ghafla.

Nikaswitch to voda nao wakawa Na vifurushi vizuri ila now its been three weeks since wamenibadilikia nao.

Kwa sisi ambao tunatumia internet heavily wanatuumiza sana.
Yani bora wakaze dk Na SMS sio MB aisee wanatunyonga sana.
 
Hahahahah kwani wao wajinga hadi wakomae na dakika na sms! Kila mtu ni mtumiaji wa mtandao nikisema hivyo namaanaisha wamiliki wa smartphone by 70% wanatumia mitandao ambayo bila bundle za internet ni mtihani.

So huko ndio kwenye mwanya mkubwa wa mapato hawawezi acha. Halafu internet is very addicting.
 
Bora sasa hivi
 
Na vifurushi vyao vinafanana au ni tofauti...? Na je, hawajaweka mfumo wa ku-switch kama uko na Tigo uka-switch to Zantel is that possible...?
Wamei dilute imekuwa kitu kimoja. Codes za vifurushi ndio ziko tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…