Malalamiko na masikitiko kutoka kwa Diatta wa Senegal

Malalamiko na masikitiko kutoka kwa Diatta wa Senegal

Mkuu upo sawa.Huwa tukiambiwa au kuwaambia humu ndani Jf kuna wajinga wajinga huwa tunabisha au mnabisha,umeona sasa ujinga wa sampuli ya watu kwa uzi wa dhihaka kama hii?

Tuwasamehe tu kiongozi "baba swalehe" ingawa unafanana na "mama magdalena"
Mama magdalena ndo nani mkuu wangu

Teh ...[emoji28]
 
Dawa ya vitu kama hivi ni kupiga mpira mwingi hadi wanaume nao waseme tunampenda Krepin. Kuna mechi ilichezwa Santiago Bernabeu kati ya Real Madrid na Barca,mashabiki Wa real wakawa wanamzomea Gaucho kila anapogusa mpira. Basi kila wanapomzomea wakawa kama ndo wanampagawisha jamaa afanye maajabu zaidi yasiyowahi kuonekana,ikafika kipindi alitoa pasi hadi kwa mgongo ikabidi mashabiki Wa Madrid wasimame na kumpa standing ovational
 
.
Nlgundua unafiki wa wabongo wengi kutokana na huyu jamaa

Hafu nikajua kumbe kuna wa tz wanaume wana tabia za kike kike sana

Maana hata dada zetu hawapo hivyo

Yaan walionyesha tabia za kishost mfano kitenge , riziwan na wengine wengi
 
rizmoko upstairs hua hayuko njema ni mbeleko ya dingi yake tu ilimbeba.

Na wala hatakuja kua na cheo kikubwa kwny nchi hii tena zaidi ya huo ubunge tu.
Hapo na wewe inaonyesha umeongea kama hujui siasa za Afrika na Tz
 
Sioni ajabu maana ni kawaida yetu kupondeana na ukute kuna wengine unawazidi kwa appearance uliyonayo, namshauri amshukuru Mungu kwa kila jambo.
 
Mkuu huu Ni ukosefu wa utashi na utu, kwani huyu DIATTA ana kosa gani Hadi afanyiwe hivi?, Watu huwa tunajisahau saana katika haya maisha.
Pipo tslk just for funny and jokes only
 
Dogo kafanikiwa kufikisha ujumbe na kutushika mana daa watu tunamuonea huruma kishenzi utadhani hatukupost au kukoment vibaya kwenye picha zake. Pole yake kijana huyu imeniumiza sana kuona hayo majonzi yake.
 
Chadema acheni ubaguzi
Itabidi akina Rizmoko wahame CHADEMA manake wamejiona Wazungu ghafla kuona binadamu mweusi zaidi yao, kila siku mnapiga kelele jinsi Wazungu walivyo racists kumbe Waafrika ni zaidi maana wanabaguana hata wenyewe kwa wenyewe.
 
Kitendo kilicho fanywa na watu kumdhihaki huyu mwenzetu siyo cha kiungwana kabsaaa , hizi tabia zinapaswa kukemewa vikali,

Sisi waafrika ndo wakwanza kulalamika tunabaguliwa na raia wa mataifa mengne nje na Africa, Leo hii tunajisahau na tunaanza kufanya dhihaka juu ya mwafrika mwenzetu.

Tunapaswa kuacha Mara moja hizi tabia
Mbaguzi number moja ni mtu mweusi. Huo ndio ukweli.
 
Halafu wazungu wakileta ubaguzi wa rangi tunalalamika wakati tunaanza kubaguana wenyewe
 
Mbona " hendisam" nimemuona vizuri akiimba wimbowa taifa lao.
 
Namshukuru Mwenyezi Mungu mimi sijamdhihaki yule jamaa ila naumia kwakuwa nilishawahi kudhihaki watu huko nyuma, nichukue nafasi hii kumpa pole kwa anayoyapitia na pia nimweleze ukweli kuwa alichotufanyia sio sahihi atatupigiaje mshuti kama ule? Lile shuti lilikuwa lina lengo jingine zaidi ya kufunga, kama si manula basi kessy kuna mmoja kama angeleta jeuri basi ingekuwa baibai
 
Mkuu sio huyo tu , kuna viongozi wengine waliandika upuuzi huo

Hao walioandika hiyo dhihaka ilikuwa kama sehemu ya kuponya maumivu yao, baada ya watu wengi kufurahia timu yetu ya taifa kufungwa.
 
Back
Top Bottom