Malalamiko ya Dreva wa Bajaji: Naniino Imeshuka bei sana

We ni nom
we noma asee
 
Hahaha kamba uombwe namba ukatae
 
Hahaha kamba uombwe namba ukatae

Nina maana yangu kukataa. Msaada wa siku moja ungekuja kugeuka huduma ya msingi kwake. Kaomba pesa, kapewa sasa anataka number ya nini? Kama ningetoa number najua ingekuwa ni virungu tu.
 
Hii chai sijui kama ina sukari!
 
Jamani maisha magumu , ni basi tu wanaume hawawezi kujiuza na wao , ila maisha yamekuwa magumu sana nyakati hizi , tuwaonee huruma hawa dada zetu , sio kwamba wanapenda
 
Nami nitanunua bajaji ikifika saa kumi na mbili naenda kupaki mlimani city.
 

Hahahahahahaaaa, naomba chenji yangu mkuu.
 

Unayosema ni kweli kabisa mkuu, nakumbuka kipindi cha nyuma nilikuwa natumia fcbk. Ile account haina Hata pic yangu moja lakini watoto wadogo wananifata private kuomba pesa na mawasiliano, tena pesa hizo hizo ndogo, ukweli nina vidume 2 sina hamu na mtoto wa kike kabisa kabisa,
 
Toka mwishoni mwa mwaka jana mpaka leo hii kuna threads nyingi zinakuwa zinanasibiana na Donald Trump sijui kwanini?ila kuhusu dada zetu wengi wao wanapenda maisha ghali kwa kutegemea kuhongwa hapo ndipo shida inapokuja.
 
hata humu ndani wapo wa aina hiyo kibao..sema wakiwa nyuma ya keyboard utasikia mimi sijui nafanyaja nini.. Kumbe hakuna lolote
 


Hahahahhahhahahahah Mkuu umenichekesha sana, kwamba nikatabasamu na kukataaa. Hii Dunia raha sana wakati mwingine.
 
This can only happen in Tanzania, yaani mtu anaomba pesa anapewa na mtu hata hamfahamiani? tena mara tano zaidi ya kiasi alichoomba? Kama aliomba 2,000/= wewe ukampa 10,000/= tafsiri yake ni nini? Ulijaribu kujiuliza kwanini hakuomba elfu 10? kuna sababu nyingi ila moja wapo ni kuwa aliona wewe akikuomba zaidi ya hapo atakuwa anakuumiza maana wote mpo kwenye dala dala...
Tanzania raha...ni kuomba na kupewa, no returns required!
 


Watanzania tulivyo hata kama unashida ya elfu50 utasikia bhana embu niazime buku hapo. Kwa muelewa anajua huyu mtu yupo juu ya mawe. Utasikia haya kanywe soda hii elfu10. Hata angeomba elfu10 ningempa tu, kwa sababu siyo mara yangu ya kwanza kusaidia watu wenye shida. Kama unaweza nunua sahani moja ya wali kuku kwa elfu25. Kwa nini usimpe mtu anayeomba elfu2 tu. Tatizo siyo wote kuwa kwenye daladala, ningeweza chukua number na nikawa natoka nae kila siku kwa gari binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…