Malalamiko ya Kocha wa JS Saoura kwa Waandishi wa Habari Tanzania

TZ waandishi wa habari sijui hizi division 3 and 4 zinz=asumbua sana, unakumbuka hata nkapa alikuwa anawatukana wanashindwa kumhoji kwa mantiki, mwandishi wa habari tz alipaswa kuwa mdomo na sauti ya wasio na sauti lakni wanatuiingiza chooni bila ridhaaa

 
Huyo kocha ametoa sbb za kiboya kwa kipigo alichopokea kutoka kwa Simba. Kwani hayo magazeti ndio yaliyoingia uwanjani kucheza?
Dah mshkaji yaani baada ya kusoma hiyo habari ndo umehitimisha hivi? Aibu naona mimi asee!
 

Ubaguzi na chuki ni kitu kibaya sana. Punguza mkuu zitakuumiza
 
vipi na wakenya wakenya wanavyotuandika vibaya kwenye media zao serikali inachukua hatua gani? au balozi wetu hatoi taarifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…