Malalamiko ya mashabiki wa Yanga

Malalamiko ya mashabiki wa Yanga

daraja la kigamboni

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2016
Posts
3,127
Reaction score
3,062
Kama kawaida yao
Hawachelewi kwenda CAS

Screenshot_2021-08-14-15-37-49-486_com.android.chrome.jpg
 
Malalamiko fc huwaoni humu

Mambo yote ni sakho
 
Acha uongo wewe, hufatilii ligi ya Nigeria, kucheza champions kapata baada ya timu namba 2 kufanya makosa ya mchezaji.
Rivers wamemaliza ligi wa 6.
Ungesema Akwa hapo sawa.
Nigeria inaingiza timu ngapi CAFL mpaka timu ya sita kwenye ligi ipate nafasi ?
 
Acha uongo wewe, hufatilii ligi ya Nigeria, kucheza champions kapata baada ya timu namba 2 kufanya makosa ya mchezaji.
Rivers wamemaliza ligi wa 6.
Ungesema Akwa hapo sawa.

Sawa lkn walipishana point ngapi mpaka atoke wa 6 afike 2 hilo umejiuliza??
 
Back
Top Bottom