daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Waende tu,na wanigeria wanamaliza kazi dk 45
Wako bizze kununua drums na magittaaa ili NDOMBORO YA SOLLO FC iendelee dimbaniMalalamiko fc huwaoni humu
Mambo yote ni sakho
Kikwete alisemaga "AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO"Na kama watakalia lawama huko watapigwa nane mapema tu maana timu walio pangwa ni hatariView attachment 1892085
Unajipooza. 😀😀😀😀Kikwete alisemaga "AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO"
View attachment 1892271
Acha uongo wewe, hufatilii ligi ya Nigeria, kucheza champions kapata baada ya timu namba 2 kufanya makosa ya mchezaji.Na kama watakalia lawama huko watapigwa nane mapema tu maana timu walio pangwa ni hatariView attachment 1892085
Nigeria inaingiza timu ngapi CAFL mpaka timu ya sita kwenye ligi ipate nafasi ?Acha uongo wewe, hufatilii ligi ya Nigeria, kucheza champions kapata baada ya timu namba 2 kufanya makosa ya mchezaji.
Rivers wamemaliza ligi wa 6.
Ungesema Akwa hapo sawa.
Fatilia kilichoifanya ifike nafasi ya pili mkuu.Nigeria inaingiza timu ngapi CAFL mpaka timu ya sita kwenye ligi ipate nafasi ?
Sijapenda kabisa hili la kujaza wageni.
Acha uongo wewe, hufatilii ligi ya Nigeria, kucheza champions kapata baada ya timu namba 2 kufanya makosa ya mchezaji.
Rivers wamemaliza ligi wa 6.
Ungesema Akwa hapo sawa.
Acha kudanganya watu sasa.Sawa lkn walipishana point ngapi mpaka atoke wa 6 afike 2 hilo umejiuliza??