beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Taarifa 132 zimepokelewa na TAKUKURU Mkoani Mwanza kati ya Januari - Machi 2022, na 89 zinahusu vitendo vya Rushwa huku 43 zikiwa hazihusiani na Rushwa
Kwa taarifa 89 za Rushwa, Majalada ya uchunguzi yalifunguliwa ambapo Uchunguzi wa Majalada 22 uchunguzi wake umekamilika, na 67 uchunguzi bado unaendelea
Kwa wakazi wa Mwanza, ni Sekta gani zinaonekana kukithiri zaidi kwa Rushwa? Ni changamoto gani zinawakumba Wananchi kutokana na vitendo vya Rushwa?
Kwa taarifa 89 za Rushwa, Majalada ya uchunguzi yalifunguliwa ambapo Uchunguzi wa Majalada 22 uchunguzi wake umekamilika, na 67 uchunguzi bado unaendelea
Kwa wakazi wa Mwanza, ni Sekta gani zinaonekana kukithiri zaidi kwa Rushwa? Ni changamoto gani zinawakumba Wananchi kutokana na vitendo vya Rushwa?