Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Serikali ina wajibu na inapaswa kubeba jukumu la kuyaondoa malalamiko yetu wananchi wao dhidi yao.
Haipaswi kuyafumbia macho na kuziba masikio wasiyasikie, kwani yanaweza hata kuhatarisha utulivu na ustawi wetu wa kijamii.
Uwazi kadri iwezekanavyo katika makusanyo ya tozo zetu inaweza kusaidia.
Tutozwe tozo ambazo tunafahamu katika uwazi wote kuwa ni kwa ajili ya kufanyia nini, na tuone kweli kwamba lengo hilo linasimamiwa na kutekelezwa katika uwazi wote unaowezekana.
Hivyo tutachanga kwa furaha na kwa mshikamano.
Haipaswi kuyafumbia macho na kuziba masikio wasiyasikie, kwani yanaweza hata kuhatarisha utulivu na ustawi wetu wa kijamii.
Uwazi kadri iwezekanavyo katika makusanyo ya tozo zetu inaweza kusaidia.
Tutozwe tozo ambazo tunafahamu katika uwazi wote kuwa ni kwa ajili ya kufanyia nini, na tuone kweli kwamba lengo hilo linasimamiwa na kutekelezwa katika uwazi wote unaowezekana.
Hivyo tutachanga kwa furaha na kwa mshikamano.