MAlaria sugu ni nani naomba ufafanuzi???

Ni jamaa mmoja anakaa Mbagala Zakhem (Zakiem), anapenda kushinda na bagharashia pale karibu na kituo cha daladala.
 
ni mtu asiyekua na uchungu kwa watz 41m,wagonjwa wanaokosa huduma ya afya,anafurahia bora elimu si elimu bora,hajali jinsi gani vijana wetu wasivyo na mazingira mazuri ya ajira,hajiulizi kwa nini baada ya miaka 50 ya uhuru miondombinu reli,ndege,meli imeporomoka,viwanda tanga hakuna tena,mashamba makubwa ya kahawa,katani hakuna tena
 
anambukiza watu humu mmhhhh
kama ametoa Mrara...
utampenda na kumchukia hapo hapo..
poster zake kama we una short temper
hata usijibu soma tu pita...
 
Ni jamaa mmoja anakaa Mbagala Zakhem (Zakiem), anapenda kushinda na bagharashia pale karibu na kituo cha daladala.

Mkuu,
Anawezaje kuwa online all the time, na hatumii simu kuwa online, akiwa kituoni tena mbagala, akiionyesha tu hata hiyo laptop yake ni lazma jamaa wamuwinde na waichukue @ any cost. I personally doubt on the words highlighted on red.
 
MS ndiye mmiliki wa ile nyumba kule Abottabad ....
 

upupu bin upumbavu
 
Am glad nimefungua hii thread manake kuna majibu humu yanafurahisha sana,Ms is special by all standards
 
Ni JF member ambaye anaongozwa kwa kupigwa ban
 
<br />
<br />
Uyo ni K NINA WA HUMU JF
 
Ni fyatu mmoja aliyetumwa na chama cha magamba kuvuruga mawazo ya kimapinduzi humu jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…