Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mdini sijawahi kuona. kama unabisha andika chochote juu ya kulinganisha uislam na ukristo, utamwona anachangia haraka bila kusitaKichefuchefu na chukizo la jamii forums.
Majina mengine anayayoyatumia ni nonda, jeykey, dar es salaam, charity boy na mengine mengi.
Ni zuzu kabisa, atakuboa tu.
Samirnasri,
Malaria Sugu pia hufupishwa MS ndiye Rais wa JF
Akipita yeye, members wote wa JF hupaswa wasimame kumpigia salute.(ki aina aina)
Ni mcheshi, mpenda watu, ana watani wengi humu JF
Anaposafirishwa na Mods, watu hum-miss sana.
Inavyosemwa humuJF ni kuwa mara nyengine huwa anatokea katika mavazi ya mtu wa kawaida na mara nyengine huwa katika official suit.
Msalimie tu, atakuitikia.
Ni mmoja wa members wanaouchangamsha ukumbi.[/QUOTE
So, leo umevaa hili koti?? Ila wewe ni zee la kuharibu na kutest hasira za watu. Una roho ngumu sana, matusi yote hayo bado waja tu!!