MAlaria sugu ni nani naomba ufafanuzi???

Muanzisha thread ni MS the ... ID sijui ya ngapi tena mie kha!!
 
Kichefuchefu na chukizo la jamii forums.
Majina mengine anayayoyatumia ni nonda, jeykey, dar es salaam, charity boy na mengine mengi.
Ni zuzu kabisa, atakuboa tu.
ni mdini sijawahi kuona. kama unabisha andika chochote juu ya kulinganisha uislam na ukristo, utamwona anachangia haraka bila kusita
 
Ni mdini siajwahi kuona, kama unabisha jaribu kuandika lolote juu ya either uislamu au ukristo, utachoka naye.
 
Malaria sugu ni fisadi, jinga linalotumiwa na mafisadi kwa kulipwa chenchi kidogo. Amejua pumba sana, nadhani pia uwezo wake wa kufikiri ni mdogo kiasi asingetumika kirahisi hivi. Sijasema ni kichaha ndo maana ameweza kujiunga JF. Na anajua kuingia cafe akasoma JF Mtandaoni. Natoa hoja tusisome thread zake.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…